bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Sasa akichekewachekewa hapo napata wivu na hasira juu...lol!wivu tu bila hasira ndo rahamimi mwanamke asieniuliza kwa nini msichana fulani anakuchekeachekea ntaona hanipendi..mwanamke akiwa na wivu anakuwa more sexy