Wewe ndo Ntagazwa?
Aliyeshinda ametangazwa, kama hukubaliani kakate rufaa kwa Kinana, huu si uchaguzi wa ccm hutaki ngojea wenu wa wakiccm.
Hayo matokeo yalipangwa, ndio maana slaa akafuta ushindi wa Ntagazwa.
Wewe ndo Ntagazwa?
Aliyeshinda ametangazwa, kama hukubaliani kakate rufaa kwa Kinana, huu si uchaguzi wa ccm hutaki ngojea wenu wa wakiccm.
Plato hauaminiki hata kidogo na hapa unataka kupotosha watu eti nawe ulikuwa sehemu ya wajumbe;hauna lolote wewe si sehemu ya wajumbe wa mkutano Mkuu
vibaraka wa sisiemu mnahangaika sana,
mara ooh chadema cha kidini kimeanzia kaskazini, msee kimesera wakina makani ni wa kaskazini??
Mara ohh chama cha kidini kikristo tu maana yake wakristo woote wanaisapoti chadema?? Kama ndivyo basi kilishinda 2010,
mara ooh chama hakijakaguliwa mahesabu, haya taarifa ilitolewa mbona hamhoji ya ukaguzi wenu wa sisiemu na kibaraka wenu??
Ooh nafasi ya mwenyekiti kila wakati haina mpinzani, haya watu wameshajitokeza, lakini kiwkwete 2005 alipingwa na nani nafasi hiyo??
Mara oooh uchaguzi haufanyika katiba imesiginwa, uchaguzi huoo uanendelea tunaeleka taifa sasa, bado ohh uchaguzi wa kupanga, mara fulani ndio kashinda sasa nyinyi hata chadema ikiboronga si ndio vizuri, ni hatari sana kujiaminisha huyu amekufa lakini bado unaingia gharama za kumuua marehemu basi wewe utakuwa punguani na kichaa kabisa,
sisiemu haina tofauti na majini..., huwezi sema chama fulani ni cha kidini au kikabila kama wewe si muumini wa udini au ukabila.
Ha ha haa unataka wasifu wa nini tena wakati Chadema ilishakufa kabla ya 2013??Nipe wasifu wake huyo Hashim Juma katika siasa na CV yake tuone huo uchapakazi wake.
Hayo matokeo yalipangwa, ndio maana slaa akafuta ushindi wa Ntagazwa.
Kwa nini dr.slaa alifuta ushindi wa Ntagazwa?
Chadema inaendeshwa kwa mkono wa chuma sasa kwa nini wamempora ushindi Ntagazwa, kisha wamempa mpemba kwa nguvu.Yericko, anasema kila propaganda inajibiwa kidemokrasi? maana yake uchaguzi wa huyu muislamu ni kutaka kujibu propaganda ya ukristo kuliko uwezo. hapo umetoa taarifa bila kujijua. pia uchaguzi huu jana ulifutwa na kurudiwa mara mbili. mzee ntagazwa alishinda,akaambiwa kura hazijavuka asilimia 50.ajabu hata huyu ametangazwa wakati naye alipata simple majority.
nilipost humu taarifa nikiwa chooni kutokana na udhibiti wa mawasiliano uliowekwa lakini ajabu post ile ilifutwa ndani ya dak 2. sijui kwa nini wana jamvi walinyimwa habari ile.
jericko natamani propaganda ijibiwe kidemokrasia kwenye nafasi nyeti za mwenyekiti na katibu mkuu. nikukumbushe propaganda zenyewe. mosi ni ukaskazini,na ukristo. tuone kama hiyo itajibiwa kwa demokrasia.yaani tupate katibu mkuu na mwenyekiti waislamu na wasiotoka kaskazini. tutakuwa tumejibu once and for all propaganda.
after all tayari mzee ntagazwa amewasilisha barua kupinga matokeo. sijui kwa nini makene hakusema pia kuwa hakuyakubali matokeo pale ukumbini.
Indiketa hiyo. nani alidhani huyu mtu asiyefahamika hata kwa mtu mmoja awe mwenyekiti?
tafsiri yangu: ama ni uchaguzi wa kupangwa ili kuwa na watu weak, ama kama ni matokeo halali,basi wapiga kura wametuma ujumbe hasa kwa viongozi incumbent kuwa watachagua watu wa kwenye periphery.
ngoja tusubiri abrakadabra za uchaguzi wa bavicha.
Siasa raha sana leo pro-Chadema wamegeuka kuwa watetezi wa Zanzibar.Ha ha haa unataka wasifu wa nini tena wakati Chadema ilishakufa kabla ya 2013??
Chadema inaendeshwa kwa mkono wa chuma sasa kwa nini wamempora ushindi Ntagazwa, kisha wamempa mpemba kwa nguvu.
Kila Uchaguzi una taratibu zake sasa taratibu zimefuatwa kashinda mzee Issa shida iko wapi nyie wachumia tumbo? hata kama tumeboronga si ndio faida yenu nyie Maccm au?Kwanini dr.slaa alifuta ushindi wa Ntagazwa?
Siasa raha sana leo pro-Chadema wamegeuka kuwa watetezi wa Zanzibar.
Kwi kwi kwi kwi!
Siasa raha sana leo pro-Chadema wamegeuka kuwa watetezi wa Zanzibar.
Kwi kwi kwi kwi!