OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Dah wewe utakuwa ni dingi sana hapa jeiefuKuna jamaa mwaka 2008 aliuliza swali kama hili kwenye uzi fulani
Dah wewe utakuwa ni dingi sana hapa jeiefuKuna jamaa mwaka 2008 aliuliza swali kama hili kwenye uzi fulani
Wewe umesoma na Hashim Zabeet?Enzi hizo za shule pale stand ya Mwenge Makondakta walikua wanamkataa HT maana alikua mwanafunzi, hawezi kusimama kwa urefu wake na kulipia siti ya mtu mzima mtihan basi ilibidi awe anakalia siti kwa bei ya mwanafunzi, Makondakta walikua wanakasirika mnooo siku zingine tunazuiwa kupanda gari sababu yake,
#Memories.
Wapi babu chacha na afande mirajiEnzi hizo za shule pale stand ya Mwenge Makondakta walikua wanamkataa HT maana alikua mwanafunzi, hawezi kusimama kwa urefu wake na kulipia siti ya mtu mzima mtihan basi ilibidi awe anakalia siti kwa bei ya mwanafunzi, Makondakta walikua wanakasirika mnooo siku zingine tunazuiwa kupanda gari sababu yake,
#Memories.
Kuna kitabu kinaitwa falsafa ya chuki, philosophy of hate, kimetoa ufafanuzi mzuri kuhusu suala lako!Kuna watu hua wanafurahia sana anguko la mtu!
Sijui hali hii husababishwa na nini aisee!
Wataalamu nisaidieni jibu.
Hapana sijasoma nae,Wewe umesoma na Hashim Zabeet?
Mweee mweeeee !Mcheza mpira wa kikapu wa Kitanzania, Hasheem Thabeet yupo zake hapa Dar, akicheza ligi ya kikapu ya mkoa maarufu kama Ligi ya RBA.
Inaelezwa Hasheem yupo zake ila sio mtu wa kujichanganya sana, kama sio mtu wa Kikapu huwezi kujua kama yupo Bongo.
Natamani niendelee kuandika ila niishie hapa, tuna ya kujifunza mengi toka kwa Hasheem
Hii ni shida ya wabongo Hashim ni world class celeb kuna ubaya gan akija kusapot nyumbani nilikua kuna mahali niliona alikua Philippines kule raia walikua wanamkubali mbaya Japan ndio usisemeJamani tuweni serious kidogo.
Hivi kweli Hashimu wa NBA ni mtu wa wakurudi na kucheza RBA?
Unaweza kumjua mchawi kupitia kauli yake, na ngumu sana kwa mchawi kumtakia mwenzake mafanikio, nazani umenielewa.Kuna watu hua wanafurahia sana anguko la mtu!
Sijui hali hii husababishwa na nini aisee!
Wataalamu nisaidieni jibu.
Huyu dogo alipata nafasi akashindwa kuitumia leo Hii angekuwa na jina kubwa sana africa na angekuwa mfano mzuri kwa vijana wengi kupenda na kucheza basketball Tanzania ili wafikie mafanikio.Temeke eagles
Kiufundi curry Yupo juu hashim umbile lilimsaidia lakini alishindwa kujifunza kutoka kwa wachezaji wa daraja la juu kuongeza uboraAlikuwa ni 2ñd pic *****, Curry akiwa sjui wa 9
kitaalamu inaitwa, "schadenfreude"Kuna watu hua wanafurahia sana anguko la mtu!
Sijui hali hii husababishwa na nini aisee!
Wataalamu nisaidieni jibu.
Hivi wazazi wa huyo mwamba wapo na height kama ya jamaa hapo ama inakuaje maana sio kwa kimo hicho ..
Hivi gari yake ni special? Na urefu ule anatoshaje?Bado anakuja na Range rover lake uwanjani ?
Kitu french na KombaaaaaWapi babu chacha na afande miraji
Maisha ni safari aisee.... kapambana Sana huyu mwamba.Enzi hizo za shule pale stand ya Mwenge Makondakta walikua wanamkataa HT maana alikua mwanafunzi, hawezi kusimama kwa urefu wake na kulipia siti ya mtu mzima mtihan basi ilibidi awe anakalia siti kwa bei ya mwanafunzi, Makondakta walikua wanakasirika mnooo siku zingine tunazuiwa kupanda gari sababu yake,
#Memories.
Kukumbushia muhimu
Hivi. Bado ana date na DC KIDOT ???