Hasheem Thabeet yu wapi!?

Ngonepi

JF-Expert Member
Jun 2, 2013
1,872
1,207
Kama watanzania wazalendo tulifurahia sana ufiko wa kilele cha mchezo wa kikapu wa mbongo mwenzetu huyu.

Ni mafanikio makubwa naweza kuyaita kwa upande wa burudani na michezo kwa hatua aliyofikia Hasheem!
Ni masikitiko yangu kwamba simuoni kwenye maHeadline ya michezo na burudani kwa ujumla!

Yu wapi huyu supastaa na afanya nini sasa aliko!?
Kwa wenye data zake wakuu, mimi nashabikia sana wabongo watuwakilishao vyema Internatianale!!
 
Huyu jamaa atakua alijiloga mwenyewe ,yaani jitu refu vile kutembea na Vanesa ? Ule ulikua ukiukwaji wa haki za binadamu kabisa , Natania tu ,sijui ni nini kimempata ndugu yetu Hashim
Vanessa gani?!
 
Alienda D League ila sasa nadhani na huko wamemtosa so nadhani career ya kikapu ndo imeisha, katika miaka yake michache alichukua billioni kadhaa kama mshahara lets hope ameziinvest vizuri au at least amezitunza benki.
 
Back
Top Bottom