Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Huyu Hashim hana busara kabisa. Na ninakuambia haipiti muda atakuwa demoted forever from the NBA!!! Anajisikia sana as if he is living in his own sphere!!! What is $10 mil a year kwa hopeless spender!!!??? Akipoteza hicho kibarua cha NBA ni aibu kwake na ataishia maisha ya kawaida tu huko Marekani!!! Afahamu kuwa he has many enemies in Tz and America as well, unafikiri wazungu wanamfurahia wote??? Ngoja wamshushe down kama Tiger woods!!! Wakipata ka story kadogo watakatengeneza na itakuwa his ruin forever!!! Hii mi so called micelebrity inanichosha mno!!! Inataka mno cheap publicity!!!!