HASHEEM Thabeet ampiga mtama TID!

We mzee Ganesh utamuweza? Anaweza kukupandishia CD za meditation na nuclear sites za New Mexico ukashangaa mwenyewe.

Mimi naona Watanzania hata tunapopata matumaini yanakuwa shortlived. Dikembe Mutombo kafanya kweli NBA, Kajenga bonge la Hospitali la mamilioni ya dola hapo Kinshasa. Sina maana kwamba Hashimu ni mali ya taifa kama wanavyosema wengine - naamini anahaki ya kuwa individual- lakini asipoangalia siyo tu atashindwa kufanya kama Dikembe, bali anaweza kuishia muflisi.

Kwenye michezo kuna kitu kama "Champs Syndrome" ambapo mwanamichezo anazungukwa na wapambe wanaomfanya aamini kwamba anaweza kufanya chochote (kama umeiona movie ya "Let's Do It Again" Sidney Poitier, Bill Cosby na JJ Walker utaona hii syndrome at work.

Hasheem si mara ya kwanza kujiingiza katika bar brawls, alishawahi kuingia katika fracas katika ma club NJ, na hiki ki attitude cha "mnanijua mimi ni nani"

I am sorry, but if you have to ask that question, they either don't know you or don't care.

You can take a kid out of the ghetto, but you can't take the ghetto out of the kid.

Kama hajapata handlers, counselling na pengine hata therapy anaweza kuwa a has been quicker than you can say Manute Bol.


Nakumbuka zile meditation zake zilikuwa ndefu kweli kweli halafu sikuwa naelewa kitu.
By the way hilo jina Ganesh ni la miungu wa kihindi.

Kuhusu Dikembe, na sikia jamaa ni Doctor by profession.

Hiyo movie sijaiona ila nai-download sasa hivi.

Kwa mara ya kwanza wakati Hasheem amekuja toka US,
niliacha shughuli zangu zote na kwenda pale kwenye uwanja wa chuo kikuu(UDSM) ailikokuwa akifanya mazoezi ili nikamuone.
Nilikuwa naamini na bado naamini kuwa inspired na great people.
Baada ya mazoezi jamaa(Hasheem) alisema "wale wanaopenda kupeana mikono na mimi ili kutakiana heri na tupeane mikono".
I loved that opportunity cause I valued him as any NBA player ambaye akija hapa(bongo) kwenda kumuona watu watatozWa hela na watatoa,
Sasa kwanini mimi nisijivunie kijana mwenzangu(mbongo).

Ila kwa swala la kugombana na kupigana na T.I.D kwa kweli limenisikitika sana.
Pamoja na hayo inabidi tumsamehe kwakuwa yeye pia ni binadamu kama wengine.
Inabidi ajifunze sasa kupitia makosa yake lakini na sisi pia tujifunze kipitia yeye.
 
Dikembe Mutombo Mpolondo Mukamba Jean-Jacques WaMutombo ni tabibu toka lini? Nijuavyo mimi alijiunga Georgetown kama sikosei kama pre-med student....sidhani kama alienda shule ya uganga....
 
Dikembe Mutombo Mpolondo Mukamba Jean-Jacques WaMutombo ni tabibu toka lini? Nijuavyo mimi alijiunga Georgetown kama sikosei kama pre-med student....sidhani kama alienda shule ya uganga....

Yaweza kuwa u-doctor niliousikia ni huu

Personal life:

Mutombo and his wife Rose have six children, four adopted.
Multilingual by both upbringing and education, Mutombo is able to speak English, French, Spanish, Portuguese and five African languages.
He was awarded an honorary Doctor of Humane Letters by the State University of New York College at Cortland for his humanitarian work in Africa.
Mutombo's nephew Harouna Mutombo plays college basketball for the Western Carolina Catamounts. Harouna was the team's leading scorer for the 2009 season and was named Southern Conference Freshman of the Year.

source:Dikembe Mutombo - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Nakumbuka zile meditation zake zilikuwa ndefu kweli kweli halafu sikuwa naelewa kitu.
By the way hilo jina Ganesh ni la miungu wa kihindi.

Kuhusu Dikembe, na sikia jamaa ni Doctor by profession.

Udokta huo wa Humane Letters sio udokta by profession
 
hapo hata mm ananiboa yu know kibaooo.Juzi nilimsikiliza akihojiwa clouds aliniboa maana yu know bt poa ndo maisha bora angepiga ngeli moja kwa moja.
 

You can take a kid out of the ghetto, but you can't take the ghetto out of the kid.

Si kweli.

Asilimia 90, kama sio 99, ya wachezaji weusi wa NBA wanatoka ghetto lakini ni wachache sana wanaishia kuwa kina Ron Attest, Hasheem Thabeet na J R Smith. Kila msimu utasikia visa labda viwili vitatu wakati kuna mamia ya wachezaji wa NBA kutoka ghetto.

Na sisi kati yetu humu weeengi saana tunatoka kwenye ma ghetto ya Manzese, Tandika, Vingunguti Kwa Mnyamani. Lakini wengi wetu hatutembei barabarani na u-ghetto ghetto vichwani, tunauacha huko huko uswazi! Ukishaelimika (na siongelei shule) utaacha u-ghetto ghetto huko ulikotoka huko.

Hasheem kama anatembea na u-ghetto wa Sinza (kama Sinza nako ghetto) basi ni yeye mwenyewe m-ghetto ghetto, tusijenge nadharia kuchukua vimisemo vya kigeni na kuvitapanyisha jumla jumla.

Lingine: Kusema tatizo la Hasheem ni wapambe wabaya ni sawa na kusema tatizo la Jakaya Kikwete ni January Makamba au Philemon Luhango, suti za Ikulu.
 
Hasheem bado kijana mdogo sema mwili ndo mkubwa. sasa akijichanganya na wenzake inakuwa tena taabu. akibakia marekani mtasema kalowea huko. ana hasira kama mtu mwingine. sijasikia akikwaruzana na raia wa kawaida, sema hao mastaa wenzake ndo wana wivu nae nadhani. wacha wale kichapo kidogo. ila wapambe wa hasheem wahakikishe kuwa jamaa hajichanganyi hovyo hovyo na kupitiliza kwani huko ndiko kwenye hayo matatizo
 
Nimemwona Hasheem Thabit sasa hivi. Alikuwa maeneo ya Mikocheni na wapambe wake wanaweka bango la matangazo.
Nikamwambia,''Wewe ndiye Hasheem,basketball star.'' Akasema,''Siyo mimi.''
Nikamwambia,''Hapana. Ni wewe. Mimi ni Andrew Nyerere. I am pleased to meet you.''
Basi,nikamsalimu,nikaondoka.
Nimetazama sasa hivi katika internet,to check,na nimeona kwamba yule ni kweli Hasheem .
Mimi nina bahati ya kukutana na stars. Nilipokuwa America,nilikuwa natembea mitaani,at a very isolated place,nikamwona Fifty Cent,he was walking about with a walkman[anasikiliza muziki]. Nilimwona huyu mtu walking towards me,and I was about to tell him,''You know,you look just like Fifty Cents'' Lakini there was something about the personality of the man that stopped me from saying that. Halafu huyu mtu akanisalimia,akaondoka.
Nikaenda mbele,kijiweni,nikawakuta Afro-Americans wamekaa. Nikawauliza,''Excuse me,can you tell me if Fifty Cents lives anywhere near here?'
Mmoja wao akanijibu,huyu his mind was very badly scarred by drugs. Hawa watu mara nyingi nilikuwa napita pale nawaona wanavuta bangi.
Yule mtu akanijibu,''Hello,ny friend. You are looking for Fifty Cents? That's good. WE ARE ALL FIFTY CENTS.''
Baada ya kusikia hivyo nikaondoka.
Lakini yule mtu niliyemmwona probably alikuwa Fifity Cents. Kwa sababu,a few days before that niliiona movie,starring Curtis Mayfield[ambaye ndiye Fifty Cents],movie kuhusu maisha yake,true life story.

Mkuu, huyu uliyemtaja si 50 Cent. 50 Cent hana ubavu hata wa kufunga viatu vyake. Curtis Mayfield alituletea Super Fly na alifariki mwaka 1999. 50 Cent ni Curtis James Jackson III!

Amandla............
 
Hasheem Thabeet analipwa $10 million a year na timu yake huko Marekani. Hizi ni pesa nyingi sana kwa kijana yoyote na haswa kwake yeye kwa vile alikuwa na maisha magumu kabla ya kufanikiwa kwenda NBA. Ni dhahiri kuwa asipokuwa makini, utajiri huu mkubwa na wa ghafla alioupata utamchanganya.


Ni kweli jamani maana inayvoonekana TID ndo alianzisha halafu anataka sifa kupiti amgongo wa mwenzie nimeona comment za yahoo wamemuita na Nukuhu "Terrible Infection Disease" mwisho wa kunukuhu

Halipwi $ milioni 10. Analipwa takriban milioni 4 ( 4,458,840).

Amandla.....
 
wote ndio wanakuwa, waacheni utoto ukiisha nao wataacha ila bad enough watakuwa wamechelewa kwani maisha hayasubiri utoto uishe
 
attachment.php


Mjini wanyama kibao cha ajabu wanakula unga
 
Back
Top Bottom