mdida
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 1,607
- 777
Ndio maana mm nikimwona mwanamke ametelekezwa wala simuonei huruma...... Na dawa yao ni kuwaharibia future yao tu..
Si bure na wanao wataharibiwa sana future zao na kuterekezwa kwa sana.
Ndio maana mm nikimwona mwanamke ametelekezwa wala simuonei huruma...... Na dawa yao ni kuwaharibia future yao tu..
Yes..,atakupenda kwa 100% atakugegeda alafu bhaaaasssss.....!
Dah kuna wanaume wanajua kupenda jamani, hata ukitaka kusaliti roho inasita yaani wanajitoa muhanga asilimia zote...!
Dah kuna wanaume wanajua kupenda jamani, hata ukitaka kusaliti roho inasita yaani wanajitoa muhanga asilimia zote...!
Hata kama ni dada yako au mama yako?
Yeah, ila bahati nzuri sikuweza kufanikiwa.... Na ninaomba hiyo hali isije ikanitokea tena!
Hongera, ila kwa type ya bwana ulonae... ukimuudhi akatoka itakuwa imekula kwako manake harudi tena!
kama ni hivyo inaanziaga wapi kutaka kusaliti?
Wanawake wao cku hizi hawapendi kuish na wanaume. Wanapenda wazalishwe tu na kuendelea na maisha yao. Cku hz sio km zamani, enzi zile mwanamke hawezi kukutiishia kuondoka hata km akipata kipondo namna gani lkn wao cku hz anakurafutia vijisababu vya hovyo tu just bcoz we hauna worth km fulan
difficult question to answer! Yaani hata sijui utaanzia wapi kusaliti