Hasara za kumpenda msichana 100%

Hasara za kumpenda msichana 100%

^^
Yalinikuta nadhani nikianza kusimulia ntajaza server za JF..nilijifunza mwanamke ni wa kutazama tu ukitosheka unaendelea na maisha.
Thank God am free and happy without them
^^

mkuu mie pia n mmoja kati y broken hearted men so nimekuelewa mbaya!
 
ndo hivyo mkubwa! kitu cha muhm naona ni kuwadanganya tu!

Kama Ufoo na Mushi siyo? Nani alikuwa anadanganywa na mwenzie hapo?
Rahisi kuongea kutenda tofauti. Tungekuwa wajanja sidhani tungekuwa tunaongoza kwa kutendwa na kufungua mithread kibao dhidi yao.
Wametuzidi tukubali!
 
si vzur msichana kugundua kwamba unampenda 100% maana weng wao wanajiona wao ndo bora zaid na anaanzisha visa vya hapa na pale hakijua kwamba ni vigumu we kubanduka kwake.wengine wanadilik kuanza kucheat na kutoka nje.
 
Do not make assumptions,not every situation is similar - Aristotle
 
^^
Yalinikuta nadhani nikianza kusimulia ntajaza server za JF..nilijifunza mwanamke ni wa kutazama tu ukitosheka unaendelea na maisha.
Thank God am free and happy without the

tupe japo kwa kifupi tu mkuu tupate kujifunza
 
Shosti, wanaume wa aina hiyo ni 2% ya wanaume wote na ni vigumu sana kuwatambua, hivyo wengi wetu tunaishia kuangukia kwa wanaume ambao ni "onja-onja" na "chovya-chovya" tu ambao ni mafundi sana wa ku-act kupenda kumbe si lolote.

my dear, mbona wapo, basi tu sisi sometime vichwa vinaenda resi, ila ukimsaliti anaweza akakumaliza ninae wangu huyo kila kukicha ananipa onyo tu na kunitishia maisha ila yeye tangu nimeanza nae uhusiano hajawahi kunitenda na wala sijawahi kusikia tetesi zozote za kunicheat, nami najitahidi sana kuugharamikia upendo wake kwa kutoenda kinyume na yeye.
 
mh labda si kwa wanawake wote mi kuna mwanamke mmoja nilimpenda kwa moyo wangu wote lakini we ndio wa kwanza kusaliti na kunita ----- kwasababu tu alikuwa ananifanyia vitu vya kijinga then mi nasamehe akawa anawasimulia rafiki zake jinsi anavvyonifanyia na kuwa ambia upendo gani hili ni ----- tu basi full kuchoreka kwa rafiki zake nyie wasichana nyie mi nilisha nawa mikono kwenu

aisee pole sana, kwangu mimi namuheshimu sana mpenzi wangu na ninajitahidi kupingana na vishawishi vya kila namna
 
si vzur msichana kugundua kwamba unampenda 100% maana weng wao wanajiona wao ndo bora zaid na anaanzisha visa vya hapa na pale hakijua kwamba ni vigumu we kubanduka kwake.wengine wanadilik kuanza kucheat na kutoka nje.

Myb kama hakupendi ndo atakufanyia makusud hayo ila wanawake 2nafurahi kuonyeshwa upendo na mtu tumpendae.
 
Usizame 100% labda kwenye ndoa na muwe mnaaminiana la sivyo mmmmmhhhhhhh . . . . . . . ...
Sent from my BlackBerry 9860 using Jamiiforums
 
Ndio maana mm nikimwona mwanamke ametelekezwa wala simuonei huruma...... Na dawa yao ni kuwaharibia future yao tu..

nakubaliana naww kabisa ingaw sio sana, wanawake tatzo huwa hawajui wanachokitaka
 
mapenzi ya sasa hata uwe hela utamegewa tu wanawake ole wako uwape moyo wako wote unakua umekaribisha kifo tunawaheshimu ni mama zetu lakini hata biblia inasema mwanamke ishi nae kwa akili kubwa
 
kwani mapenzi ni nini,mi ninavyofahamu sisi binadamu huwa tunatamaniana tu 'there is no love neither true love' mtu ambaye unaweza kumpenda ni mama yako mzazi tu kwa kuwa alikutunza tumboni miezi tisa na kukulea lakini wengine ni maigizo tu,kwa mfano utasikia mtu eti mi nimempenda yule mwanamke ndio maana nikaamua kumuoa lakini ukichunguza utakuta jamaa lilitaka kuoa tu ili apate mtoto au ameshinikizwa na familia au umri umekwenda,eti i love u wapii uwizi mtupu.
 
Back
Top Bottom