Hasara za kumpenda msichana 100%

Hasara za kumpenda msichana 100%

Swala la kupenda 100% ndivyo inavyopaswa ila watu mnapenda msiko pendwa ndilo tatizo lenu mtu anayekupenda hawezi kukusalti!
Ntawambia mara ngapi tafuta msichana anayekupend! hivi fikiria unamkuta msichana ana mchizi wake hajajiandaa kimaisha kumsogeza ndani, unakimbia na mifedha yako ooh nakupenda njoo nikuoe huyo anakuchezea na wasaga sumu kibao wanakusaidia! kesho akikusalti unakuja hapa unalia tatizo ni la nani sasa?
 
Chezea binti wa kibongo wewe, ukitaka arudishe upendo asilimia zote uwe na sifa zifuatazo.
1. Unaishi maisha ya kwenye Tv au uwe superstar
2. Una hela ya kutosha maanaa akipata anayekuzidi pia umeumia
3. Unayaweza mapenzi ya kifilipino ya kuamka asubuhi unamwimbia nyimbo
au mnaweka appointment unamsubiri hadi kwenye baridi bila kuchoka
4. Uwe handsome aka mtanashati

Kama huna hizo kwa mabinti wa kibongo wapendao TV siku hzi umeumia, penda hizo asilimia mia uone mwisho wa siku, hata wife tu atakuumiza, na hii sio kwa wa kijijini wala wa mjini, Omba Mungu ubahatishe binti safi au ambaye amecheza akaona mmwisho wa siku true happiness doesnt come from living such fake life, hata actors wenyewe hawaishi maisha hayo nje ya tv...
 
Halafu wakitemwa wanaanza kulalama...Wanawake hivi wanawake vile!!!!



Kama mwanaume hatonipenda kwa 100% ni bora asinipende kabisa
 
Last edited by a moderator:
Dah kuna wanaume wanajua kupenda jamani, hata ukitaka kusaliti roho inasita yaani wanajitoa muhanga asilimia zote...!

mh labda si kwa wanawake wote mi kuna mwanamke mmoja nilimpenda kwa moyo wangu wote lakini we ndio wa kwanza kusaliti na kunita ----- kwasababu tu alikuwa ananifanyia vitu vya kijinga then mi nasamehe akawa anawasimulia rafiki zake jinsi anavvyonifanyia na kuwa ambia upendo gani hili ni ----- tu basi full kuchoreka kwa rafiki zake nyie wasichana nyie mi nilisha nawa mikono kwenu
 
mh labda si kwa wanawake wote mi kuna mwanamke mmoja nilimpenda kwa moyo wangu wote lakini we ndio wa kwanza kusaliti na kunita ----- kwasababu tu alikuwa ananifanyia vitu vya kijinga then mi nasamehe akawa anawasimulia rafiki zake jinsi anavvyonifanyia na kuwa ambia upendo gani hili ni ----- tu basi full kuchoreka kwa rafiki zake nyie wasichana nyie mi nilisha nawa mikono kwenu

^^
Mi mpaka miguu
^^
 
Ndio maana mm nikimwona mwanamke ametelekezwa wala simuonei huruma...... Na dawa yao ni kuwaharibia future yao tu..

dada zako na wadogo zako wataharibiwa future zao kama mnavyo haribu za wengine!!!!
 
^^
Yalinikuta nadhani nikianza kusimulia ntajaza server za JF..nilijifunza mwanamke ni wa kutazama tu ukitosheka unaendelea na maisha.
Thank God am free and happy without them
^^

Pole mkuu, we always learn kutokana na makosa
 
Dah kuna wanaume wanajua kupenda jamani, hata ukitaka kusaliti roho inasita yaani wanajitoa muhanga asilimia zote...!
Shosti, wanaume wa aina hiyo ni 2% ya wanaume wote na ni vigumu sana kuwatambua, hivyo wengi wetu tunaishia kuangukia kwa wanaume ambao ni "onja-onja" na "chovya-chovya" tu ambao ni mafundi sana wa ku-act kupenda kumbe si lolote.
 
Mama yangu tu ndo atakuwa na 100% toka moyoni... the rest tutagawana upendo! Nijiue kisa mwanamke, God forbid!
 
Nikisoma hivi halafu nna watoto wa KIKE dah sijui itakuwaje
 
Back
Top Bottom