Hasara za kumpenda msichana 100%

Hasara za kumpenda msichana 100%

Meja vitalis

Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
32
Reaction score
14
ukipenda ni vizuri kwa wanaume ila kuna haja kubwa sana ya kuwa na kiasi unapokuwa umezama kwenye mapenzi,kuna uwezekano wa mtu kuwa chiz kwa mambo madogo sana! Kwa takwimu zinavyoonesha 86% ya wasichana hupenda kuona wanaume wanaangaika juu yao Huku hali ikiwa tofauti kabisa kwa wanaume maana mwanaume humchoka mapema msichana anayehangaika ili apendwe na mwanaume fulani,na hivyo kama mwanaume amependa kwa 100% inampa shida sana na anaweza kuhisi hana thamani tena katika Dunia hii maana hakuna mwanaume anayependa kuteswa na msichana! so stay at 50% unapompenda mtu na kamwe husimwamini msichana wala kumuonesha kama unampenda sana hata kama unamtania! (NEVER DIS,FULL CUDOS,PEACE&LOVE!)
 
Uko sahihi kabisa big up za nguvuuuu


Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
^^
Yalinikuta nadhani nikianza kusimulia ntajaza server za JF..nilijifunza mwanamke ni wa kutazama tu ukitosheka unaendelea na maisha.
Thank God am free and happy without them
^^
 
^^
Yalinikuta nadhani nikianza kusimulia ntajaza server za JF..nilijifunza mwanamke ni wa kutazama tu ukitosheka unaendelea na maisha.
Thank God am free and happy without them
^^



Nikiskia mwanaume anasema hivi roho inaniuma sana

Don't give up on love!
 
Dah kuna wanaume wanajua kupenda jamani, hata ukitaka kusaliti roho inasita yaani wanajitoa muhanga asilimia zote...!
 
^^
Yalinikuta nadhani nikianza kusimulia ntajaza server za JF..nilijifunza mwanamke ni wa kutazama tu ukitosheka unaendelea na maisha.
Thank God am free and happy without them
^^

Mmh! Aya bhana
 
^^
Yalinikuta nadhani nikianza kusimulia ntajaza server za JF..nilijifunza mwanamke ni wa kutazama tu ukitosheka unaendelea na maisha.
Thank God am free and happy without them
^^
Without them...??? Kwa hiyo unapiga punyeto au...??
 
^^
Yalinikuta nadhani nikianza kusimulia ntajaza server za JF..nilijifunza mwanamke ni wa kutazama tu ukitosheka unaendelea na maisha.
Thank God am free and happy without them
^^

Aaaaah!,yako cha mtoto...yangu balaa...nachukia kila mwanamke hata akijenga hoja popote naona kama balaa.ni. wanafik sn.tupa kule jina mke...shetan..
 
Dah kuna wanaume wanajua kupenda jamani, hata ukitaka kusaliti roho inasita yaani wanajitoa muhanga asilimia zote...!
Kusaliti ni tabia ya mtu, na si kwa sababu ya kupendwa au kutopendwa.... We jiulize tu inakuwaje unaanza kuwaza kusaliti..??? Hata kama hutasaliti..... Once KICHECHE, BASI KICHECHE FOREVER
 
Aaaaah!,yako cha mtoto...yangu balaa...nachukia kila mwanamke hata akijenga hoja popote naona kama balaa.ni. wanafik sn.tupa kule jina mke...shetan..

^^
Da! Hii itakuwa imeenda mbali..mke shetani?
^^
 
Ndio maana mm nikimwona mwanamke ametelekezwa wala simuonei huruma...... Na dawa yao ni kuwaharibia future yao tu..
 
Aaaaah!,yako cha mtoto...yangu balaa...nachukia kila mwanamke hata akijenga hoja popote naona kama balaa.ni. wanafik sn.tupa kule jina mke...shetan..


Mmmh...
Huna mama?
Huna dada?
Mtoto wa kike je?
Usichukie mtu, chukia tabia ya mtu...
 
Back
Top Bottom