Apparent weightKitu kikiwa kwenye maji kinakuwa chepesi.
Apparent weightKitu kikiwa kwenye maji kinakuwa chepesi.
Meli ni za mabeberu, na ndio maana nikasema wanaoumia zaidi hapo ni mabeberu wenye meli zao kwa sababu kunasa kwa hiyo meli kutasababisha poor business facilitation kwa nchi zao na sio kwa EgyptKwani meli ni ya misri?!
Correct! 👏🏽Hahahaaa ndio mkuu ulidhani ni rubani??
Kwanza pia kunakua na Nahodha mwenyeji anayeletwa na hizo Tug boat anasaidiana na Nahodha wa hiyo meli kuivusha hapo, naye pia anaitwa Pilot.
Hata baadhi ya bandari(Pamoja na DSM nadhani) meli huwa zinaenda kupokelewa na Pilot mwenyeji wa hiyo bandari kuepusha matatizo kama hayo.
Ni kama wale madereva wa Dar wanaopokeaga madereva wa serikali kutoka kasulu huko Pale kibamba wa nazunguka na bos wakimaliza wanawarudisha mpaka kibamba warudi kwao bara
Mkuu hivi ni kwanini bandari nyingi hapa Bongo zimejificha, yaani huwezi kuifikia gati bila kupita kwenye strait!?Sababu kubwa ya meli hiyo kukwama pale ni baada ya steering system (mfumo wa usukani) kufeli, maelezo kutoka kwa watu wa Marine Casualty Investigation.
Kweli kitu kikiwa majini kinakuwa chepesi, aina ya ajali hiyo ya Ship Grounding ni kukwama kwa meli kwenye mchanga au tope. Na hiyo mgongo wa meli umenasa kwenye tope.
Meli kubwa zaidi ni za mizigo. Kama sijakosea manowari kubwa ina urefu wa meters 300 sawa na viwanja vitatu vya mpiraNdugu bado ujaona meng io ni chq mtoto tu kuna manowar za marekan kubwa km wilaya ua temeke uko unaweza hata kisahau km upo kwenye meli kuna mpaka daladala humo
Tupe ushahidi vinginevyo ni porojo za vijiwe vya kahawa.Michezo tu ya vita za kiuchumi.
Bandari kuwa eneo lililojificha ni salama zaidi kama ilivyo kwa hizi zetu. Hii inasaidia meli kama ikiwa imefungwa kwenye gati isipigwe na upepo mkali kutoka baharini au mawimbi na kukata kamba na kusababisha maafa au wakati wa kuingia meli kupata tabu baada ya upepo kupiga Sana inakuwa vigumu kufunga kwenye gati.Mkuu hivi ni kwanini bandari nyingi hapa Bongo zimejificha, yaani huwezi kuifikia gati bila kupita kwenye strait!?
Umemaliza mkuu, nikijiuliza sana juu ya hili, now nimeelewa. Asante sana.Bandari kuwa eneo lililojificha ni salama zaidi kama ilivyo kwa hizi zetu. Hii inasaidia meli kama ikiwa imefungwa kwenye gati isipigwe na upepo mkali kutoka baharini au mawimbi na kukata kamba na kusababisha maafa au wakati wa kuingia meli kupata tabu baada ya upepo kupiga Sana inakuwa vigumu kufunga kwenye gati.
Bandari kama haijajificha italazimu kujenga kingo kubwa kuzuia upepo na mawimbi.
Mfano bandari ya Bukoba ipo eneo la wazi hivyo meli pale hupata tabu wakati wa kuingia, hata kuna tukio liliwahi kuripotiwa miaka ya nyuma meli ya MV Victoria ilishindwa kuingia na kuleta taharuki ila halo ilipo kaa shwari ikaingia gatini.
Hii hapa chini ni bandari ambayo haina eneo la kujificha au Kati ya milima/miamba.Imebidi ijengwe kingo(breakwater) za kuzuia mawimbi na upepo ili meli zisipate shurba na kuwa salama.
View attachment 1736828
Bandari kama ya Dar es Salaam iliyojificha baada ya kupita kwenye strait/mlango ipo salama dhidi ya upepo na mawimbi.
View attachment 1736833
Meli ya urefu na upana huo ina surface area kubwa sana mkuu, ni kma ukuta unaoelea kweny maji mbele ya upepo wa hata 50kph inasukumwa vzuri tu.Nimeona kwenye platforms conspiracy kuwa huenda ajali imetengenezwa: nakaribia kushawishika hivyo maana si rahisi tani "LAKI2* kusukumwa na upepo
Hii idea safi sana mkuu sema pale mbele mdomo umekita kweny tope so lazima wachimbe ili ivutwe bila madhara. Kwa mzigo iliobeba hii ngoma stress kidogo tu unaweza kusababisha serious structural damage au ikakunjika kabisa.Hii system vipi?
Wanacheza naona yaani miaka hiyo naenda rudi wanashinndwa Kuwa na vifaa vya maanaEti wameanza kushusha moja mojaView attachment 1736972
Pesa wanazoingiza sijui wanazipeleka wapiView attachment 1734844
Juhudi zinaendelea
Wakuu hili dude ni kubwa wazee unaona Excavator inavyoonekana kama kagari kadogo hapo
Ila Suez Canal Authority wanatia aibu mpaka leo hii wameshindwa kumobilise vifaa vya maana kama Crwalers au monster excavators wanatumia hako ka barabara
Au nilitegemea nione/nisome kuwa Underwater Sand pumps zinatumika hapo kutoa tope inasuke meli
Zikibaki container 10elfu inatoka kilaini iyoTayari wataalamu wamependekeza mzigo upunguzwe ili iwe rahisi kuvutwa na tug boat.
Chuma cha pua icho mdauHivi hawa Mabeberu wanatumia vitu hasa kutengeneza dude kama hilo then libebe matani ya mizigo halafu lielee kwenye maji bila tatizo?
Na meli yenyewe haipo full maana iyo rangi nyekundu huwa inazama yote kwenye maji...
Africa inabidi tutawaliwe tena kwa kweliEti wameanza kushusha moja mojaView attachment 1736972