Mzee unaujua upepo mkali? Kumbuka meli inakuwa kwenye maji sio nchi kavu🤓🤓🤓🤓 Nimeona kwenye platforms conspiracy kuwa huenda ajali imetengenezwa: nakaribia kushawishika hivyo maana si rahisi tani "LAKI2* kusukumwa na upepo
Mzee unaujua upepo mkali? Kumbuka meli inakuwa kwenye maji sio nchi kavu🤓🤓🤓🤓 Nimeona kwenye platforms conspiracy kuwa huenda ajali imetengenezwa: nakaribia kushawishika hivyo maana si rahisi tani "LAKI2* kusukumwa na upepo
Huku kwetu sifa ya Mbunge/mtunga sheria na mpitishaji wa badget ya serjali sifa kubwa ni kujua kusoma na kuandika maendeleo yatatoka wapi?Meli kubwa sana hiyo,viwanja vinne vya mpira!ukitafakari utagundua hawa wenzetu wako mbali sana...
Nenda platforms nyingine uone kinachosemwa; sasa wanapambana na siltation, wanapakua mizigo iliyo kwenye ncha ili uzito uongezeke katikati. Upepo wa nchikavu si sawa na baharini kwahiyo hoja ya upepo ni dhaifuMzee unaujua upepo mkali? Kumbuka meli inakuwa kwenye maji sio nchi kavu
Nasi tuna yetuMeli kubwa sana hiyo,viwanja vinne vya mpira!ukitafakari utagundua hawa wenzetu wako mbali sana...
Kwa dunia ya leo yote yanawezekana: kutaka kuliondoa hilo dude maana linaushindani mkubwa dhidi ya vyombo vyao ama kumtia hasara egypt ya kuingiza fedha nyingi zaidi za kuboresha suezKama unataka kuwasingizia mabeberu, nakuhakikishia Mabeberu hawawezi kuwa stupid kiasi hicho kwa sababu Suez Canal ni muhimu hata kwao! Hebu angalia hiyo alternative route
Egypt ni "mpwa" wa Mabeberu!!! Mfereji ungekuwa unamilikiwa na Iran basi hiyo dhana yako ingewezekana; sawa na ile dhana ya kuuza ng'ombe kwa kesi ya kuku, lakini sio kwa Egypt. Mabeberu wanaihitaji sana stable Egypt kwa ajili ya Israel kama wanavyoihitaji Turkey kwa manufaa ya NATO, na ndo maana, kama sitakosea, after Israel, Egypt ndiyo inafuata kwa kupata misaada mikubwa zaidi ya kijeshi kutoka USA.Kwa dunia ya leo yote yanawezekana: kutaka kuliondoa hilo dude maana linaushindani mkubwa dhidi ya vyombo vyao ama kumtia hasara egypt ya kuingiza fedha nyingi zaidi za kuboresha suez
Duuu! Basi sawa kila mtu aamini anachoamini,Nenda platforms nyingine uone kinachosemwa; sasa wanapambana na siltation, wanapakua mizigo iliyo kwenye ncha ili uzito uongezeke katikati. Upepo wa nchikavu si sawa na baharini kwahiyo hoja ya upepo ni dhaifu
Bado hujaondoa dhana kuwa ajali hii inaweza kuwa organized, vipi compliance ya viongozi wa sasa wa egypt kwa matakwa ya wazungu, vipi kuhusu ku block njia ili waratibu vizuri global petroleum supply? Vipi kuhusu ku block njia ili wakague kijasusi vyombo vingine⁉️, vipi kuhusu kutaka dude hili likose biashara huko mbeleni ⁉️Egypt ni "mpwa" wa Mabeberu!!! Mfereji ungekuwa unamilikiwa na Iran basi hiyo dhana yako ingewezekana; sawa na ile dhana ya kuuza ng'ombe kwa kesi ya kuku, lakini sio kwa Egypt. Mabeberu wanaihitaji sana stable Egypt kwa ajili ya Israel kama wanavyoihitaji Turkey kwa manufaa ya NATO, na ndo maana, kama sitakosea, after Israel, Egypt ndiyo inafuata kwa kupata misaada mikubwa zaidi ya kijeshi kutoka USA.
Man, hata tukiacha mambo ya siasa, Suez Canal ni MUHIMU sana kwa Mabeberu!! Wakati Egypt anapoteza kupitia ushuru lakini Ulaya na America wanapoteza biashara kubwa sana, tena sana kuliko ushuru wanaopoteza Egypt! Kutokana na ile ajali, cargo flow kati ya Asia na nchi za Mabeberu kupitia bahari imesimama, labda wa-opt hiyo long route ambayo na wenyewe wana mashaka nayo kutokana na Somali Pirates! Ajali imetokea juzi tu hapa lakini taarifa ya Leth Agencies iliyotolewa 7 hours ago inaonesha kuna meli 326 zimekwama!!! Sasa turudi upande wa pili, je zikikwama zitabaki zinaelea baharini? Hapana, na ndo maana kwa mujibu wa hiyo taarifa, inaonesha meli 1017 zimetia nanga bandari ya Port Said, na 127 zimetia nanga bandari ya Suez. Sasa anayeumia hapo nani kati ya Egypt na Mabeberu?! Labda Egypt wasiwatoze kwa kuwa hizo bandari na mfereji zote zipo kwenye mamlaka yake lakini hasara ya kuendelea kubaki tu hapo bandarini and around the canal, ni hasara kubwa sana sio tu in terms of money bali kwa mfumo mzima wa usambazaji wa bidhaa!!Bado hujaondoa dhana kuwa ajali hii inaweza kuwa organized, vipi compliance ya viongozi wa sasa wa egypt kwa matakwa ya wazungu, vipi kuhusu ku block njia ili waratibu vizuri global petroleum supply? Vipi kuhusu ku block njia ili wakague kijasusi vyombo vingine⁉️, vipi kuhusu kutaka dude hili likose biashara huko mbeleni ⁉️
Afrika hatutaki kuwekeza ila tunataka maisha ya kufikirikaMkuu wazo la kuzamisha sio rafiki hata kidogo, ukizamisha hapo huo mfereji hautotumika tena.
Ulaya Wana kampuni za kuokoa Zinaitwa Salvage, Wana vifaa vya kisasa tatizo linakuja Wana Bei kubwa Sana. Ndio maana Misri hawajawaita wanakomaa kama mamlaka na jeshi.
Kitu kikiwa kwenye maji kinakuwa chepesi.Nimeona kwenye platforms conspiracy kuwa huenda ajali imetengenezwa: nakaribia kushawishika hivyo maana si rahisi tani "LAKI2* kusukumwa na upepo
Zikiwa zinaelea kwenye maji ni rahisi sana mkuu🤓🤓🤓🤓 Nimeona kwenye platforms conspiracy kuwa huenda ajali imetengenezwa: nakaribia kushawishika hivyo maana si rahisi tani "LAKI2* kusukumwa na upepo
Sababu kubwa ya meli hiyo kukwama pale ni baada ya steering system (mfumo wa usukani) kufeli, maelezo kutoka kwa watu wa Marine Casualty Investigation.Kitu kikiwa kwenye maji kinakuwa chepesi.
Kwani meli ni ya misri?!Kwamba kutaka dude likose biashara huko mbeleni bado ha-make sense kwa sababu Egypt sio threat kwa Mabeberu kiasi cha wao kufikiria ku-risk biashara na Asia + Far East
Huenda ni rahisi, lakini juilize ; kama ni rahisi kiasi hicho linawezaje kukatiza mawimbi ya baharini⁉️Zikiwa zinaelea kwenye maji ni rahisi sana mkuu
meli ikifika hapo captain anazima na injin kabisa, hapo meli haiendeshwi inavushwa kwa kuvutwa na tug boats na mitambo mengine inayokuwa pemben kweny kingo za mferejiInaonekana meli kubwa kama hii zinapitaga labda kuna tatizo limetokea au baharia kakosea hesabu namna ya kulenga kwenye njia ndogo
Ndugu bado ujaona meng io ni chq mtoto tu kuna manowar za marekan kubwa km wilaya ua temeke uko unaweza hata kisahau km upo kwenye meli kuna mpaka daladala humoHasara ya mabilioni ya dola baada ya Mfereji wa Suez nchini Misri kuzibwa na meli kubwa ya mizigo
Mar 26, 2021 08:01 UTC
Inakadiriwa kuwa kuna hasara ya dola milioni nne kwa saa baada ya meli kubwa ya kontena kuziba Mfereji wa Maji wa Suez nchini Misri. Mfereji huo ni kati ya njia zenye shughuli nyingi zaidi za meli za kibiashara duniani.
Kwa mujibu wa makadirio ya Shirika la Lloyd List, baada ya meli hiyo kuziba Mfereji wa Suez, meli zilizokwama kuelekea upande wa maghairbi zinapata hasara ya dola bilioni 5.1 kwa siku na zile zilizokwama upande uneoelekea mashariki zinapata hasara ya takribani dola bilioni 4.5 kwa siku.
Kwa mujibu wa data zilizokusanywa na Shirika la Habari la Bloomberg, hivi sasa kuna jumla ya meli 185 ambazo zinasubiri kupita Mfereji wa Suez. Miongoni mwa meli hizo kuna meli 27 kubwa za mafuta ambazo zina takribani mapipa milioni 1.9 ya mafuta ghafi ya petroli.
Meli iliyoziba Mfereji wa Suez ina urefu wa mita 400 sawa na viwanja vinne vya mpira wa miguu na imekwama kwenye mfereji wa Suez unaounganisha Bahari ya Mediterania na Bahari ya Sham na hivyo kuzuia meli kupita huku shughuli mbalimbali muhimu zikivurugwa. Kukwama kwa meli hiyo kumesababisha bei ya mafuta kupanda kwenye masoko ya kimataifa.
Karibu asilimia 12 ya biashara ulimwenguni hupita katika mfereji wa Suez na ni njia ya mkato kati ya Bara la Asia na Ulaya. Meli hiyo iliyosajiliwa nchini Panama na kuendeshwa na kampuni ya usafirishaji ya Evergreen, ilikuwa ikielekea bandari ya Rotterdam nchini Uholanzi ikitokea China na ilikuwa ikipita Kaskazini kupitia mfereji huo kuelekea Mediterranean. Meli hiyo ya tani 200,000 ilitengenezwa mwaka 2018.
Juhudi za kuikwamua meli hiyo zingali zinaendelea huku wakuu wa Misri wakisema huenda zoezi hilo likachukua siku kadhaa.
Meli ambazo haziwezi kusubiri zitalazimika kuzunguka bara Afrika ili kufika Ulaya na hivyo kurefusha safari kwa takribani wiki mbili zaidi.
Dah!
Kumbe kuna meli kubwa namna hii yenye ukubwa wa viwanja vinne vya mpira? Big up wazungu
Africa kaz tunayoHii sasa ndiyo vita vya kiuchumi, siyo mtu anaumwa karibu na kukata roho lakini ukijaribu kusema anaumwa unaambiwa hiyo ni vita vya kiuchumi.
Hedicopter ndio huwa zinafanya kaz izo na sio ndegeKivipi mkuu? Kuna ndege yenye uwezo wa kutingisha hilo dude lilivyo zito?