mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Naipendaga hii kila nikiisomaga !
Kuna kijana alikua anataka kuoa akamwabia baba yake kaniposee msichana fulani babake akamwambia tafuta kwingine yule ni dadako ila mamako hajui usimwambie, Kijana akatafuta mwingine baba akamwambia na huyo ni dadako ila mamako hajui watatu tena hivyo hivyo kijana akamind akamwambia mamake, mamake akamwambia kaoe yoyote kati yao kwani na yeye mwenyewe si babako ila yeye hajui!
Huenda si wanae hao mabinti ila anamzibia mwanae halafu na yeye anaanza kufukuzia apate pumziko.
Kuna kijana alikua anataka kuoa akamwabia baba yake kaniposee msichana fulani babake akamwambia tafuta kwingine yule ni dadako ila mamako hajui usimwambie, Kijana akatafuta mwingine baba akamwambia na huyo ni dadako ila mamako hajui watatu tena hivyo hivyo kijana akamind akamwambia mamake, mamake akamwambia kaoe yoyote kati yao kwani na yeye mwenyewe si babako ila yeye hajui!
Vague!!!!!!!