Hasara ya kuzaa nje ya ndoaaaaaaaa!

mpemba mbishi

JF-Expert Member
Nov 27, 2011
1,132
185
Kuna kijana alikua anataka kuoa akamwabia baba yake kaniposee msichana fulani babake akamwambia tafuta kwingine yule ni dadako ila mamako hajui usimwambie, Kijana akatafuta mwingine baba akamwambia na huyo ni dadako ila mamako hajui watatu tena hivyo hivyo kijana akamind akamwambia mamake, mamake akamwambia kaoe yoyote kati yao kwani na yeye mwenyewe si babako ila yeye hajui!
 
Huenda si wanae hao mabinti ila anamzibia mwanae halafu na yeye anaanza kufukuzia apate pumziko.
 
Kuna kijana alikua anataka kuoa akamwabia baba yake kaniposee msichana fulani babake akamwambia tafuta kwingine yule ni dadako ila mamako hajui usimwambie, Kijana akatafuta mwingine baba akamwambia na huyo ni dadako ila mamako hajui watatu tena hivyo hivyo kijana akamind akamwambia mamake, mamake akamwambia kaoe yoyote kati yao kwani na yeye mwenyewe si babako ila yeye hajui!

ngoma drooo, hakuna mshindi
 
Kuna kijana alikua anataka kuoa akamwabia baba yake kaniposee msichana fulani babake akamwambia tafuta kwingine yule ni dadako ila mamako hajui usimwambie, Kijana akatafuta mwingine baba akamwambia na huyo ni dadako ila mamako hajui watatu tena hivyo hivyo kijana akamind akamwambia mamake, mamake akamwambia kaoe yoyote kati yao kwani na yeye mwenyewe si babako ila yeye hajui!

Imetulia, kweli wote ni wezi wa wenzio. Jibaba linaiba kumbe na li mama lilimuibia
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom