mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Kuna kijana alikua anataka kuoa akamwabia baba yake kaniposee msichana fulani babake akamwambia tafuta kwingine yule ni dadako ila mamako hajui usimwambie, Kijana akatafuta mwingine baba akamwambia na huyo ni dadako ila mamako hajui watatu tena hivyo hivyo kijana akamind akamwambia mamake, mamake akamwambia kaoe yoyote kati yao kwani na yeye mwenyewe si babako ila yeye hajui!