Hasara kuu ya kupenda ngono kupitiliza

Na kweli jamaa kajulkana leo kama kwel ni mpenda ngono mpaka anataka kujiua kisa mapenzi jinga kabsaaa.
Ni utafiti..
Usinimbie niliufanyia wapi ila moja ya vyanzo vyangi ni hapa hapa JF, Hata kama tinatimia ID fake ila mara nyingi vile ambavyo tunaviwasilisha ndiyo huakisi maisha yetu halisi

Moja ya hasara kuu ya kupenda ngono kupitiliza ni kupungukiwa uwezo wa kufikiri na kuamua mambo kwa nyakati sahihi, pia kupambanu lipi zuri na lipi baya, lipi linafaa kwa wakati huu lipi halifai. Mtu anayependa ngono mno anakuwa hajui mustakabali wake wa kesho nje ya ngono, hana uwelekeo mzuri hata kwenye kujenga hoja na ile tija.

Mfano mdogo hapa hapa JF kuna ID ukifuatilia mawazo yao utaona kabisa wana ugonjwa wa UEKI ( Ukosefu wa Kujitambua Kichwani) na mmojawapo ni huyu bwana mdogo anayeitwa kenny trump. Kila napojaribu kufatilia mawazo yake naona yamejaaupuuzi na hayabadiliki na hadhi anyoionesha humu ni kuwa yeye ni mpenda ngono sanakwa kuwa kila uzi atakaoleta lazima uhusu manzi mpya ambaye kafanya nae ngono ma anamlalamikia kwa jambo fulani

Jamani fanyeni ngono kwa kiasi na kwa mtu mmoja,huku tunapoelekea mtakuwa machizi maana akili zinawapungua kwa kuwa mnamwagiwa radhi au laana na watu wengi
 
Na kweli jamaa kajulkana leo kama kwel ni mpenda ngono mpaka anataka kujiua kisa mapenzi jinga kabsaaa.
Dogo anazingua kinyama
Hata kama ni mzaha kila kitu kina mipaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom