Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,979
OkNakataa usemacho mkuu.
Usiposema la moyoni kwa humu JF basi wew ni comedian.
OkNakataa usemacho mkuu.
Usiposema la moyoni kwa humu JF basi wew ni comedian.
Wala huko sikoHahaaaa wataka kusema upo upande wa trump!!!
Wala huko siko
Ni utafiti..
Usinimbie niliufanyia wapi ila moja ya vyanzo vyangi ni hapa hapa JF, Hata kama tinatimia ID fake ila mara nyingi vile ambavyo tunaviwasilisha ndiyo huakisi maisha yetu halisi
Moja ya hasara kuu ya kupenda ngono kupitiliza ni kupungukiwa uwezo wa kufikiri na kuamua mambo kwa nyakati sahihi, pia kupambanu lipi zuri na lipi baya, lipi linafaa kwa wakati huu lipi halifai. Mtu anayependa ngono mno anakuwa hajui mustakabali wake wa kesho nje ya ngono, hana uwelekeo mzuri hata kwenye kujenga hoja na ile tija.
Mfano mdogo hapa hapa JF kuna ID ukifuatilia mawazo yao utaona kabisa wana ugonjwa wa UEKI ( Ukosefu wa Kujitambua Kichwani) na mmojawapo ni huyu bwana mdogo anayeitwa kenny trump. Kila napojaribu kufatilia mawazo yake naona yamejaaupuuzi na hayabadiliki na hadhi anyoionesha humu ni kuwa yeye ni mpenda ngono sanakwa kuwa kila uzi atakaoleta lazima uhusu manzi mpya ambaye kafanya nae ngono ma anamlalamikia kwa jambo fulani
Jamani fanyeni ngono kwa kiasi na kwa mtu mmoja,huku tunapoelekea mtakuwa machizi maana akili zinawapungua kwa kuwa mnamwagiwa radhi au laana na watu wengi
Kimtokacho mtu ndo kiujazacho moyo wakeSijui umejuaje anafanya ngono kupita kiasi!
I wonder kama ulishaenda chumbani kwake!
Its funny these days mtu anauwezo wa kumpima mtu clinically online na kujua matatizo yake in real world!
I see!
kwani nani alikuita kuja kusoma post zake kama na wewe hazikuvutii halafu umefuata nini kwenye jukwaa la matusi na ushapewa notice kabsaNi utafiti..
Usinimbie niliufanyia wapi ila moja ya vyanzo vyangi ni hapa hapa JF, Hata kama tinatimia ID fake ila mara nyingi vile ambavyo tunaviwasilisha ndiyo huakisi maisha yetu halisi
Moja ya hasara kuu ya kupenda ngono kupitiliza ni kupungukiwa uwezo wa kufikiri na kuamua mambo kwa nyakati sahihi, pia kupambanu lipi zuri na lipi baya, lipi linafaa kwa wakati huu lipi halifai. Mtu anayependa ngono mno anakuwa hajui mustakabali wake wa kesho nje ya ngono, hana uwelekeo mzuri hata kwenye kujenga hoja na ile tija.
Mfano mdogo hapa hapa JF kuna ID ukifuatilia mawazo yao utaona kabisa wana ugonjwa wa UEKI ( Ukosefu wa Kujitambua Kichwani) na mmojawapo ni huyu bwana mdogo anayeitwa kenny trump. Kila napojaribu kufatilia mawazo yake naona yamejaaupuuzi na hayabadiliki na hadhi anyoionesha humu ni kuwa yeye ni mpenda ngono sanakwa kuwa kila uzi atakaoleta lazima uhusu manzi mpya ambaye kafanya nae ngono ma anamlalamikia kwa jambo fulani
Jamani fanyeni ngono kwa kiasi na kwa mtu mmoja,huku tunapoelekea mtakuwa machizi maana akili zinawapungua kwa kuwa mnamwagiwa radhi au laana na watu wengi
kwani kupenda ngono kuna matatizo gani.............................na wewe ulichosema pia hakieleweki kwa mtu anayependa ngononadhani ulichokomenti ni tofauti kilichoandikwa
Kimtokacho mtu ndo kiujazacho moyo wake
samahani mkuu
ila unaonekana una matatizo ya kisaikolojia
ukishindwa wengine wanawezaOh yeah?
Ukimaanishaje?
Sio kwa general statement ya namna hii!
Mkuu mbona unapenda kutoa statement ambazo wataalamu wenye vyeti na vipimo vyao ndio wanaruhusiwa kusema?
Ana matatizo ya kisaikolojia,ulimpima labda ukapata majibu ya kitaalamu au ni rhetoric tu?
ukishindwa wengine wanaweza