malamsha shao
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 215
- 78
Labda za asili. Ila kuna mbegu za short variety ila zenyewe ni ghali kidogo kama 40000 kwa 2kg sikumbuki jina la kampuni lakini hizo ziko poaKwa hiyo mbegu nzuri ni zipi wakuu.
Labda za asili. Ila kuna mbegu za short variety ila zenyewe ni ghali kidogo kama 40000 kwa 2kg sikumbuki jina la kampuni lakini hizo ziko poaKwa hiyo mbegu nzuri ni zipi wakuu.
Kweli kabisa kama alina wakati wa mvua nyingi hiyo ni sababu Moja wapo.Alizeti halitaki mvua nyingi,Songea Kuna mvua nyingi,mvua nyingi inasababisha mafuta yawe kidogo.Inawezekana tatizo siyo mbegu ila ni wewe mkulima.
Vipi mavuno kwa heka umepata gunia ngapi?Habari wana jamvi,
Naomba kujua waliolima alizeti kwa kutumia mbegu za serikali za ASA mafuta zimetoa kiasi gani maana, hasara tuliyopata sye huku tuliolima Songea sio mchezo. Gunia la kilo 45 mafuta yametoka lita 7 tu, hivi hawa watafiti wa hizi mbegu mlisomea chini ya zizi la nguruwe au?
Well saidKweli kabisa kama alina wakati wa mvua nyingi hiyo ni sababu Moja wapo.
Jambo la pili ni ujazi wa gunia. Gunia la kawaida la wastani ni kg 55 kwa alizeti iliyokomaa vizuri ni 65-70kg ambayo inakupa hadi lita 22 kwa mbegu za kienyeji
Labda za asili. Ila kuna mbegu za short variety ila zenyewe ni ghali kidogo kama 40000 kwa 2kg sikumbuki jina la kampuni lakin hizo ziko poa
Hakika umenena..mkulima hasa wa kilimo cha mvua hitakiwi kuwa na hasira ama kinyongo na kilimo.Bado unaiaminigi serikali tu nunua mbegu zako kutoka kwa wazalishaji binafsi
Kingine Alizeti sio kama mpunga yenyewe inataka unyevu tu kwenye udongo inatosha
Inaonyesha ulikurupuka kulima bila kulifuatilia vizuri hilo zao la alizeti linataka nn
NB:Mkulima hutakiwi kuwa na hasira
Wewe unalima hiyo Canola?Achaneni na Alizeti, limeni Canola.
Unataka nipige picha na kurusha hapa shamba langu, phimbi wewe?Wewe unalima hiyo Canola ?
Zipo za nyanda za juu, kati na chiniZinakubali mazingira yoyote kiongozi...?
Acha uongo wewe! Unakijua kilimo cha Alizeti wewe? Au ndio ninyi wahitimu wa SUA, theory nyingii!Alizeti halitaki mvua nyingi,Songea Kuna mvua nyingi,mvua nyingi inasababisha mafuta yawe kidogo.Inawezekana tatizo siyo mbegu ila ni wewe mkulima.
Ndivyo ilivyo kwani hata Pembejeo za Ruzuku na mbegu za mahindi si ilikuwa hivyo hivyo. Wakulima tuna rungu la kuiwajibisha Serikali hii ili ituheshimu. Kupitia kura 2023. Sijui tunakwama wapi?Bongo nyoso...full kutukana hasara...usikute Kuna kigogo mmoja alikuwa winga katika ununuzi na uuzaji wa mbegu
Uko sahihi. Isipokuwa mbegu hii Record iliyoletwa na Serikali 2021/2022 ni counterfeit hybrid seeds. Ni Fake. Na iko zaidi ya varieties Nne. Sina shaka ASA na baadhi ya Watendaji wachache wasio waaminifu wa Serikali wali-collude, wali-conspire, wali-accomplice ktk hili.Kweli kabisa kama alina wakati wa mvua nyingi hiyo ni sababu Moja wapo.
Jambo la pili ni ujazi wa gunia. Gunia la kawaida la wastani ni kg 55 kwa alizeti iliyokomaa vizuri ni 65-70kg ambayo inakupa hadi lita 22 kwa mbegu za kienyeji
Uko sahihi. Isipokuwa mbegu hii Record iliyoletwa na Serikali 2021/2022 ni counterfeit hybrid seeds. Ni Fake. Na iko zaidi ya varieties Nne. Sina shaka ASA na baadhi ya Watendaji wachache wasio waaminifu wa Serikali wali-collude, wali-conspire, wali-accomplice ktk hili.
Serikali na Watendaji wako, waoneeni huruma Wakulima.
Hii ni hatari sana; ngoja tuendelee kusubiri mrejesho kwa wengine; kuna jamaa yangu kalima heka 50 bado haijaanza kutoa maua; nasubiri mrejesho wake.Uko sahihi. Isipokuwa mbegu hii Record iliyoletwa na Serikali 2021/2022 ni counterfeit hybrid seeds. Ni Fake. Na iko zaidi ya varieties Nne. Sina shaka ASA na baadhi ya Watendaji wachache wasio waaminifu wa Serikali wali-collude, wali-conspire, wali-accomplice ktk hili.
Serikali na Watendaji wako, waoneeni huruma Wakulima.
Gunia Zima lita 7, daah Kilimo kigumu sana...... wakulima tuwaheshimuHabari wana jamvi,
Naomba kujua waliolima alizeti kwa kutumia mbegu za serikali za ASA mafuta zimetoa kiasi gani maana, hasara tuliyopata sye huku tuliolima Songea sio mchezo. Gunia la kilo 45 mafuta yametoka lita 7 tu, hivi hawa watafiti wa hizi mbegu mlisomea chini ya zizi la nguruwe au?
Achaneni na Alizeti, limeni Canola.
Katika hali ya kawaida Hilo gunia la kilo 45 hitoa mafuta lita ngapi?Habari wana jamvi,
Naomba kujua waliolima alizeti kwa kutumia mbegu za serikali za ASA mafuta zimetoa kiasi gani maana, hasara tuliyopata sye huku tuliolima Songea sio mchezo. Gunia la kilo 45 mafuta yametoka lita 7 tu, hivi hawa watafiti wa hizi mbegu mlisomea chini ya zizi la nguruwe au?