Mwingine Mwana FAKuna umri ukifika bado hujafanya wedding ukija kufanya wedding hazihitajiki mbwembwe kama za vijana wanaobarehe.
Hongera Zitto, na ni kwa sababu Zitto anajiweza kiuchumi ndio maana unaweza kuona U-VIP fulani hivi lakini ni simple and quality wedding.
Simpendagi Zitto kwa unafki wake lakini jinsi alivyohandle kuanzia uchumba mpaka harusi yake ameonesha maturity ya hali juu, hii ndoa kina Shigongo hawajapata nafasi ya kutia nuksi zao.
Naomba vijana wengine maarufu ambao bado hamjaoa/kuolewa igeni mfano wa Zitto jinsi alivyoendesha mambo yake kimyakimya hata JF hayakuvuja mpaka siku ya tukio.
Hapo ni nungwi znz..sio simple ...ni gharama kubwa ukiweka na usafiri na kulala ni zaidi ya serenaKuna umri ukifika bado hujafanya wedding ukija kufanya wedding hazihitajiki mbwembwe kama za vijana wanaobarehe.
Hongera Zitto, na ni kwa sababu Zitto anajiweza kiuchumi ndio maana unaweza kuona U-VIP fulani hivi lakini ni simple and quality wedding.
Simpendagi Zitto kwa unafki wake lakini jinsi alivyohandle kuanzia uchumba mpaka harusi yake ameonesha maturity ya hali juu, hii ndoa kina Shigongo hawajapata nafasi ya kutia nuksi zao.
Naomba vijana wengine maarufu ambao bado hamjaoa/kuolewa igeni mfano wa Zitto jinsi alivyoendesha mambo yake kimyakimya hata JF hayakuvuja mpaka siku ya tukio.
Huyo tayariMwingine Mwana FA
huyo mschana hawezi kung'atuka nasikia bwana jepesi aliachiwa koba la makorokocha na mazeri
silinde mwenyewe basi namjua ndugu yangu?..nipogo tu hivyo nikiamka na mahasira ,naeza post chochoteUnafki ni sifa ya watu wa Kigoma. Sijui Silinde unafki wake ni nini?
Nani anajua kama walialikwa!Unafki ni sifa ya watu wa Kigoma. Sijui Silinde unafki wake ni nini?
Huyo kaanza kulala bila nguo long ago.. Sema Jana ilikuwa officialDaah.. Dada kalala bila nguo janaaa...
huyo mschana hawezi kung'atuka nasikia bwana jepesi aliachiwa koba la makorokocha na mazeri