Dada ana nyumba ndogo anamzingua tu kijana wangu.
...nikitoka ICU naenda zangu..Pangani..kumtengeneza mtu...maana najua nikimpeleka Mabwepande itaundwa Tume/kamati nami sitaki...sasa dawa ni kutumia Nguvu za Giza tu...
..wote waliohusika katika kuniwekea zengwe ...hata wewe pia humo...unamtengeneza yupi sasa......?
M/kiti ana kauli ya mwisho hivyo anaweza kuamua chochote, hata kana kitaenda kinyume na matakwa ya kamati nzima.Kwa kweli hata nami hili la M/kiti kuja kuweka kila kitu wazi ckutegemea!
Ila kama siyo napoteza kumbukumbu,pale tulipoagana hatujamwambia mwanakamati yoyote asirushe ama irushwe.
Kwa kweli hata nami hili la M/kiti kuja kuweka kila kitu wazi ckutegemea!
Ila kama siyo napoteza kumbukumbu,pale tulipoagana hatujamwambia mwanakamati yoyote asirushe ama irushwe.
..wote waliohusika katika kuniwekea zengwe ...hata wewe pia humo...
Nani aingie mitini? Kama ni hela zako walizochanga wanakamati sijanywea Konyagi bana, bado ninazo japokuwa nilitumia laki 6 tu!halafu kaingia mitini.....mwenyekiti bure sana huyu.....
Nani aingie mitini? Kama ni hela zako walizochanga wanakamati sijanywea Konyagi bana, bado ninazo japokuwa nilitumia laki 6 tu!
Halafu wewe...nakuhifazi tu kwa vile leo najua tutakutana pale Arusha-RAHA!
halafu kaingia mitini.....mwenyekiti bure sana huyu.....
Asante kwa kunikumbusha! Ngoja "NIMDIPU" Papaa na Vasilisa, Patrico Angeliko Dominiko. Muzee ya kupiga pasi kwa barabara!
Wadau,
Napenda kuwajulisha kuwa harusi ya Preta na Erickb52 iliyokuwa ifanyike tarehe 25 kuamkia 26/08/2012 imeahirishwa hadi siku isiyojulikana, kutokana na sababu kuwa baada ya harusi tulipanga walale Honeymoon gesti inayoitwa Arusha-Raha...na hivyo zoezi la sensa lingewapita kushoto!
Wamekataa katakata na kusema bora waahirishe arusi kuliko kukosa sensa.
Wapeni ushauri zaidi!
Chanzo: Mimi ni mwanakamati!
ukija na Vaselisa......napindua meza......