PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
- Thread starter
- #21
Huna option, mpende tu mwaya!...kwanza kila siku mko njia moja mnapoenda.......halafu wewe.....kila ukiwa na Vaselisa unabutua sana.....mwanamke simpendi yule....toka anikwarue na makucha yake....sitaki hata kumuona.....namchukia kama nini.....
Halafu sijui kwanini anakupendaga vile huyu mke wangu!...amenambia nimpe namba yako anataka kukupigia.