dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,126
- 49,385
Tofauti na Harry ambaye alikuwa anaingiza kitu ndani tena race tofauti, huyu wa jana yeye alikuwa anatoka/olewa so haina impact kubwa sana kwa ufalme.Hii kitu haijapata kiki kama ya muhuni Harry
Tofauti na Harry ambaye alikuwa anaingiza kitu ndani tena race tofauti, huyu wa jana yeye alikuwa anatoka/olewa so haina impact kubwa sana kwa ufalme.Hii kitu haijapata kiki kama ya muhuni Harry
Huyo Sarah Fergie si kaachwaga na Andrew kitambo kwa umalaya na ulevi?Maiden name yake tu, Baba yake alikuwa major jeshini
Edward kalegea urojo asee...inaezekana eti!Hapana kule kwa Malkia haijatokea ingawa heat say zinasema yule mtoto wa mwisho wa malkia Edward alikuwa ubwabwa ila ilibidi aoe kuficha aibu
Hawa wakina Eugenie na Beatrice hawabambi kama akina William na HarryHii kitu haijapata kiki kama ya muhuni Harry
Doooh Sophie angefyekelewa mbali asee kama DiYule Sophie alipewa onyo kabla ya ndoa kuwa ya mle ni ya mle na asije akadai talaka. Wakati anaolewa Diana na Fergie walishaachika.
Unamaanisha nini Sky?Sophie anapendwa sana na mama mkwe, ndiye mke wa mwana mwenyewe aliyebaki.
Camilla hapendwi bana anafosi kingi.....kile kibibi kishiriki sanaNimesahau kuna Camilila
Hata Sky na babu Asprin watapendeza pia!Wamependeza
Camilla Parker Rottweiler watu hadi mle ndani wanasema kamfanyia uwitch Chale ili apendwe!Ni kweli hata ile ndoa malaika aliikubali kumfurahisha tu Charles. Ninasikia Camilla hampendi Kate pia.
Ni binti wa Prince Andrew mtoto wa tatu wa Malkia Elizabeth.....Ana undugu na Diana?
Lakini enzi zake Andrew alikuwa handsome, Diana alimpenda sana Andrew lakini ilibidi aolewe na first born kwakua umri wa kuoa ulifika na ilikuwa lazima future king aoe bikra.Ni binti wa Prince Andrew mtoto wa tatu wa Malkia Elizabeth.....
Maskini Di labda na Andy wangedumu....Andrew namuona kama mtulivu fulani hiviLakini enzi zake Andrew alikuwa handsome, Diana alimpenda sana Andrew lakini ilibidi aolewe na first born kwakua umri wa kuoa ulifika na ilikuwa lazima future king aoe bikra.
Andrew mtu wa bata kali. Akioa tu Fergie hawezi kuwa Dutches tena. Kwasababu hiyo wamekubaliana hataoa tena wala Sarah hataolewa ili aendelee kuitwa Dutches if YorkMaskini Di labda na Andy wangedumu....Andrew namuona kama mtulivu fulani hivi