Wageni 2000 na viongozi 500 kumzika Malkia Elizabeth II leo

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,371
8,107
Malkia Elizabeth II atafanyiwa mazishi ya kiserikali ambayo yatafanyika leo Septemba 19, 2022 katika eneo la Westminster Abbey, jijini London.
1663580199116.png

Mchana wa leo, Jeneza la Malkia Elizabeth II litasafiri hadi Windsor Castle kwa ibada ya mazishi na kisha atazikwa katika mazishi ya faragha.

Rais Samia S. Hassan ni kati ya viongozi 500 waliopewa mwaliko wa kuhudhuria mazishi ya Mtawala huyo wa muda mrefu katika historia ya Ufalme wa Uingereza.

1663580450907.png


1663580466082.png
 

Attachments

  • 1663580389373.png
    1663580389373.png
    175.6 KB · Views: 5
Huyo wanamhifadhi tu hawamziki. Kuzikwa ni pale mwili unakutana na udongo either jeneza lianze kubunguliwa then ufuate wewe. Acha wadudu wakukule kama ulivyokulaga na wewe.

Mazishi ya kibinafsi. Mnawanyima msosi minyoo ya kwenye udongo
 
Back
Top Bottom