BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,371
- 8,107
Malkia Elizabeth II atafanyiwa mazishi ya kiserikali ambayo yatafanyika leo Septemba 19, 2022 katika eneo la Westminster Abbey, jijini London.
Mchana wa leo, Jeneza la Malkia Elizabeth II litasafiri hadi Windsor Castle kwa ibada ya mazishi na kisha atazikwa katika mazishi ya faragha.
Rais Samia S. Hassan ni kati ya viongozi 500 waliopewa mwaliko wa kuhudhuria mazishi ya Mtawala huyo wa muda mrefu katika historia ya Ufalme wa Uingereza.
Mchana wa leo, Jeneza la Malkia Elizabeth II litasafiri hadi Windsor Castle kwa ibada ya mazishi na kisha atazikwa katika mazishi ya faragha.
Rais Samia S. Hassan ni kati ya viongozi 500 waliopewa mwaliko wa kuhudhuria mazishi ya Mtawala huyo wa muda mrefu katika historia ya Ufalme wa Uingereza.