heheehe siku hizi hivo ndo vimezibuka kama choo... juzi juzi nilikuwa bata pande flani hivi
..vitoto vya 99 vimejazana kila nyimbo vinacheza huku vimelala chini kama wazaramo basii nikaviangaliaaa
hahahhahahhahahhahah...vijana wanalia sana hapa,mzee kama madrid vile fainal ya UCL kafunga goli dakika za mwisho saafi kabisa anaondoka na ushindi mnene....
Lakini mbona kwenye hii harusi mdogo wake Benjamin Mengi simwoni?? Au yeye alisusia, maana yule mzee nae ana misimamo yake na huwa hapindishwi na kaka yake
Mamndenyi bana, kwani uzee wa kanisa unaondoa ubinadamu wa mtu, au ukiwa mzee wa kanisa hutakiwi kupenda?Mtaani kwangu mzee mmoja wa kanisa ana michepuko kadhaa. Labda ungekuja na gia ya kifamilia ningekuelewa angalau kidogo
Pamoja na yote maharusi wamependeza sana na waliobuni msemo wa uzee mwisho chalinze hawakukosea hata kidogo.
Sasa mlitaka aendekeze michepuko? Si bora akamate Haki miliki kabisa? Michepukowala au Kulia wengi bila soni. Angalau hapo wasaidizi watamwibia kwa kujificha wakiogopa kutinduliwa wakinaswa na paparazzi
Lakini mbona kwenye hii harusi mdogo wake Benjamin Mengi simwoni?? Au yeye alisusia, maana yule mzee nae ana misimamo yake na huwa hapindishwi na kaka yake