Harusi ya kimasikini

Harusi ya kimasikini

al-baajun

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2015
Posts
297
Reaction score
225
C3GAzjEW8AAjbw4.jpg
C3GA0y7WYAAf_C5.jpg
C3GA0ZxW8AArJeR.jpg

hii nimeikuta mtandaoni
 
Sio harusi hiyo ni ndoa,harusi ni Yale masherehe mnayo fanyaga ukumbini na mbwembwe zingine kama kutembea barabarani na magari ila kanisani hakuna harusi kanisani kuna ndoa tu.hapo wanafunga ndoa ila huwezi kufunga harusi.harusi haifungwi ila harusi inasheherekewa.
 
Nawatabiria ndoa yenye furaha sana hawa jamaa..... Wamefanya kitu kikubwa sana. Katika dunia hii ukiweza kuishi bila kujali kumfurahisha mwanadamu na kutojali utachukuliwaje na jamii utafika mbali sana!!!
 
Back
Top Bottom