Harufu ya kiume inanitia hamu

Harufu ya kiume inanitia hamu

Mwenzenu nna tatizo, yani harufu ya kiume inanifanya nalowa chu-pi kabisa, haswa nikisalimiana na mwanamme kwa njia ya kukumbatiana.

Ile harufu ikibaki kwangu nashindwa kabisa kujizuia, najikuta nimelowa kabisa. Kwa ambaye anajua ufumbuzi wa hili tatizo naomba anisaidie maana imekua too much sasa.

Hapa nilipo nimekosa usingizi kwa sababu hiyo.
Haya diga magoti tupige maombi pamoja! Pepo wa ngono atakimbia!
 
Mwenzenu nna tatizo, yani harufu ya kiume inanifanya nalowa chu-pi kabisa, haswa nikisalimiana na mwanamme kwa njia ya kukumbatiana. Ile harufu ikibaki kwangu nashindwa kabisa kujizuia, najikuta nimelowa kabisa. Kwa ambaye anajua ufumbuzi wa hili tatizo naomba anisaidie maana imekua too much sasa.Hapa nilipo nimekosa usingizi kwa sababu hiyo.
Mmmh Bidada tumia hiyo.... face maskna waterproof uw !!
 
Pole binti, una umri gani? haya mambo yapo, nilikuwa na binti fulani mwaka mmoja uliopita huyu binti alinieleza tatizo lake, yeye akimuona tu mwanaume tayali analegea na kulowa kabisa, japo si kila mwanaume lakini ilimtokea mara kwa mara, nadhani ilikuwa kwa wanaume wenye mvuto wa kimapenzi. Hii huwa ni kutokana na maumbile ya mtu mwenyewe, hata hivyo tambua huo ni udhaifu na unapaswa kupambana nao ili usije kuwa rahisi sana.

Zaidi ni kuamua kuipotezea hiyo harufu pindi unapoihisi na kujilazimisha kuondoa mawazo, taratibu utaweza kuondokana na hiyo hali, lakini pia kupata ushauri kwa wataalamu ni muhimu zaidi pamoja na kumuomba Mungu.
 
Ashk Majinun Pepo hilo,,,, we liendekeze tu, utaipata habari yake, unauliza hapa JF? kwisha habari yako...
 
Halafu ushawahi kumwona beberu akinusa K ya mbuzi jike?

Huwa wananusa halafu wananyanyua pua na mdomo ili kuisikilizia vizuri harufu:lol:.

Dizaini K ya mbuzi jike nayo ina harufu flani hivi ya kimzuka mzuka:lol:.

Beberu watundu sana aisee.

Hahahahahaha hiyo hata mie nishaicheki yaani beberu linakuwa kama vile linachekelea kwa mzuka.
 
Pole binti, una umri gani? haya mambo yapo, nilikuwa na binti fulani mwaka mmoja uliopita huyu binti alinieleza tatizo lake, yeye akimuona tu mwanaume tayali analegea na kulowa kabisa, japo si kila mwanaume lakini ilimtokea mara kwa mara, nadhani ilikuwa kwa wanaume wenye mvuto wa kimapenzi. Hii huwa ni kutokana na maumbile ya mtu mwenyewe, hata hivyo tambua huo ni udhaifu na unapaswa kupambana nao ili usije kuwa rahisi sana.

Zaidi ni kuamua kuipotezea hiyo harufu pindi unapoihisi na kujilazimisha kuondoa mawazo, taratibu utaweza kuondokana na hiyo hali, lakini pia kupata ushauri kwa wataalamu ni muhimu zaidi pamoja na kumuomba Mungu.

Asante sana,... soon naanza ufanyia kazi ushauri wako.
Thanks alot :thumbup:
 
Duuuh hali hiyo kuwa nayo makini aisee manake ni dalili mbaya....sana
 
:A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20: HAYA MATATIZO MENGINE HAYA AU UMEPIGWA JINI Jr
 
Yaani kumbe kila mtu ana yake mimi huku mtaani wanawake wananiita Maharufu au ma smell,kama vipi nitafute
 
Hahahahahaha hiyo hata mie nishaicheki yaani beberu linakuwa kama vile linachekelea kwa mzuka.

Lakini unajua hata sisi binadamu ni wanyama pia.

Ni wanyama aina ya binadamu.

Na kwa mtaji huo, kuna njemba huwa zinapenda sana harufu ya K.

Sasa mimi sijui kama K ina harufu yake ya kipekee maana watu wote hawafanani kwa kila namna.

Lakini naijua njemba moja hivi yenyewe huwa inapenda kwanza kuikodolea macho tu K halafu inasogeza pua yake na kuinusa.

Yaani jamaa iko tayari imlipe demu hela na iishie kukodolea tu na kunusa.

Na siyo kwamba hiyo njema haipendi kumega, la hasha. Inapenda sana kumega lakini wakati mwingine huwa inatosheka na kukodolea macho na kunusa.

Hapo ndo ujue duniani kumejaa freaks wa kila aina.
 
Halafu ushawahi kumwona beberu akinusa K ya mbuzi jike?

Huwa wananusa halafu wananyanyua pua na mdomo ili kuisikilizia vizuri harufu:lol:.

Dizaini K ya mbuzi jike nayo ina harufu flani hivi ya kimzuka mzuka:lol:.

Beberu watundu sana aisee.

Hahahahahhahahahahahaha........jf raha nilikuwa nimenuna.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom