Harufu ya kiume inanitia hamu

Harufu ya kiume inanitia hamu

Jaman msaada ...nimezamisha kaz ya crdb hapa bugurun...pesa haikutoka ...sina hata mia mfukuna ndinga mafuta haina imezima relin....nifanyeje ...

Kazi= kadi?
Umezamisha ATM/ wapi?
Kama ATM card kesho asubuhi wahi uichukue....pole unaonakana umepanic sana
 
Mwenzenu nna tatizo, yani harufu ya kiume inanifanya nalowa chu-pi kabisa, haswa nikisalimiana na mwanamme kwa njia ya kukumbatiana.

Ile harufu ikibaki kwangu nashindwa kabisa kujizuia, najikuta nimelowa kabisa. Kwa ambaye anajua ufumbuzi wa hili tatizo naomba anisaidie maana imekua too much sasa.

Hapa nilipo nimekosa usingizi kwa sababu hiyo.
1.png
 
Ww nawe unayataka! Kwann ukumbatiane na mtu ambaye c mpenzi wako? Tibu hilo kwanza la kupenda kukumbatia watu
 
Mwenzenu nna tatizo, yani harufu ya kiume inanifanya nalowa chu-pi kabisa, haswa nikisalimiana na mwanamme kwa njia ya kukumbatiana.

Ile harufu ikibaki kwangu nashindwa kabisa kujizuia, najikuta nimelowa kabisa. Kwa ambaye anajua ufumbuzi wa hili tatizo naomba anisaidie maana imekua too much sasa.

Hapa nilipo nimekosa usingizi kwa sababu hiyo.

Mbona solution imeisema mwenyewe, yaani, epuka salamu ya kukumbatiana kwa kunyoosha mkono kwa mbali halafu mkishikana tu, unabaki straight. Pia vaa tauli muda wote. Pia pata dose mara kwa mara.
 
embu utest yangu kama na yenyewe itakuletea hilo tatizo.., then TUONE
 
Mwenzenu nna tatizo, yani harufu ya kiume inanifanya nalowa chu-pi kabisa, haswa nikisalimiana na mwanamme kwa njia ya kukumbatiana.

Ile harufu ikibaki kwangu nashindwa kabisa kujizuia, najikuta nimelowa kabisa. Kwa ambaye anajua ufumbuzi wa hili tatizo naomba anisaidie maana imekua too much sasa.

Hapa nilipo nimekosa usingizi kwa sababu hiyo.

itakuwa jini hilo...
 
Kama umeizamisha mtoni,uliza wenyeji wa hapo uelekeo wa maji na ukumbuke mwendokasi wa maji baada ya kuzamisha kadi kisha chukua boda boda ikuwahishe faster Jangwani pale ukaisubiri hapo na nyavu za uvuvi ili uivue!

Mkuu kad ya benk mkuu...sio kuzamisha kwenye maj..
 
Asanteni wote mloonesha moyo wa kunisaidia kimawazo na kwa pm.
Nitafanya kama mlivyonishauri.
Asanteeni, nawatakieni mchana mwema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom