Harufu Mbaya ya Ufisadi Katika Daraja la Kigamboni

Harufu Mbaya ya Ufisadi Katika Daraja la Kigamboni

Hili jambo limenistua sana,jana nimeoneshwa ujumbe wa simu wa kuhamasisha na kuhimiza wafanyakazi wa NSSF na marafiki zao kuchangishana pesa hili Dr Dau asomewe dua,kwakweli Mwalimu Nyerere aliona mbali sana pale alipoamua kutuunganisha Watanzania bila kujali makabila na dini zetu.Najiuliza,hivi wakristo wangapi wamatumbuliwa na wala hakuna mtu anaangaika nao wala kuwaonea huruma zaidi ya ndugu na jamaa zao?! Mbona kipindi cha Kikwete tumeshuhudia wakristo wengi wakipelekwa kwa Pilato pale kisutu kwa tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka na wengine kufungwa na hatukusikia Wakristo wakilalama?! Kama hali ndio hii,basi hili taifa tunallpeleka pabaya zaidi.Mtu kala hela ya umma unamwombea dua ya nini? Dua unamwombea kwa Mungu yupi?
 
Hili jambo limenistua sana,jana nimeoneshwa ujumbe wa simu wa kuhamasisha na kuhimiza wafanyakazi wa NSSF na marafiki zao kuchangishana pesa hili Dr Dau asomewe dua,kwakweli Mwalimu Nyerere aliona mbali sana pale alipoamua kutuunganisha Watanzania bila kujali makabila na dini zetu.Najiuliza,hivi wakristo wangapi wamatumbuliwa na wala hakuna mtu anaangaika nao wala kuwaonea huruma zaidi ya ndugu na jamaa zao?! Mbona kipindi cha Kikwete tumeshuhudia wakristo wengi wakipelekwa kwa Pilato pale kisutu kwa tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka na wengine kufungwa na hatukusikia Wakristo wakilalama?! Kama hali ndio hii,basi hili taifa tunallpeleka pabaya zaidi.Mtu kala hela ya umma unamwombea dua ya nini? Dua unamwombea kwa Mungu yupi?

Gazeti LA mwenyekiti wa zamani wa PAC ambako limekuwa mstari wa mbele kumtetea dau Leo limeandika CAG asema Nssf hakuna ufisadi,kama ni kweli CAG kasema hivyo basi ni Yale Yale maana CAG na dau ni marafiki na huyu Assad alikuwa mjumbe wa board Nssf na ni mmoja ya watu walionunua nyumba za Nssf huko tanga kwa bei ya kutupwa akiwa board member,anajua mengi ya Nssf pamoja na huyu alokuwa mwenyekiti wa PAC ambae anamiliki gazeti LA jamvi la habari
 
Gazeti LA mwenyekiti wa zamani wa PAC ambako limekuwa mstari wa mbele kumtetea dau Leo limeandika CAG asema Nssf hakuna ufisadi,kama ni kweli CAG kasema hivyo basi ni Yale Yale maana CAG na dau ni marafiki na huyu Assad alikuwa mjumbe wa board Nssf na ni mmoja ya watu walionunua nyumba za Nssf huko tanga kwa bei ya kutupwa akiwa board member,anajua mengi ya Nssf pamoja na huyu alokuwa mwenyekiti wa PAC ambae anamiliki gazeti LA jamvi la habari

Hata wafanyeje/waficheje NSSF haiwezi kuwa taasisi yenye hati safi la hasha.
 
Usipite juu ya daraja hilo kwa mpaka upate maelezo ya kina kutoka kwa rais aliyelizindua bila kuona huo ufisadi..
Komaa ndugu

Matumaini yangu ni kwamba hilo daraja halita collapse baada ya miaka miwili. Hivi walisema magari yenye uzito wa zaidi ya tani 10 hayaruhusiwi kupita kwenye hilo daraja?
 
Hata wafanyeje/waficheje NSSF haiwezi kuwa taasisi yenye hati safi la hasha.
Mkuu hawa Nssf wananunua hizo hati safi hata waandishi wa habari walikuwa hawaandiki vibaya Nssf,board nao walikuwa hawawezi kumkemea dau,kwa taarifa zaidi wasiliana na nkakatisi former member board wa nssf
 
Back
Top Bottom