Harufu Mbaya ya Ufisadi Katika Daraja la Kigamboni

Harufu Mbaya ya Ufisadi Katika Daraja la Kigamboni

Mwacheni balozi asubiri tuzo yake ya heshima, akisifiacho Magufuli, mtanzania hana haki ya kukikosoa.
 
Suspension bridge are very expensive ukitaka kufananisha labda lifananishe na akashi bridge la Japan lililotumia mabilioni ya dola na miaka 10 kujengwa wkt lina km 2 tu.

Don't compare suspension bridge with normal bridge sbb ni kma apples n oranges
 
ila kwa taarifa yako hawa jamaa wa NSSF walikuwa vizuri sana wakati wakisain mkataba kwani walikubaliana exchange rate itabaki fixed mda wote wakati wa malipo, na exchange rate iliyotumika kulipa fedha zote ilikuwa 1520.00
Inaitwa hedging kwa lugha ya wenzetu na wataalamu walioko huko
 
Gharama ya ujezi wa daraja la kigamboni ni Tsh bilion 218, na mkataba ulikuwa kwa exchange rate ya 1560 miaka mitatu iliyopita

anzia hapo kufanya mahesabu

kisha elezea gharama za ku import materials kutoka nje

then endelea na analysis yako
Asisahu na VAT kwenye material.
 
Alafu kuna waliodumaa akili wanakuja hapa wanampigia makofi, ndio maana hataki bunge lionyeshwe ili yasitumbuliwe, hakuna mtu yeyote yuko CCM na sio mwizi hata mtu wa kaida ukimuuliza kwa nini anaiunga mkono, utasikia kuna tenda tetapendelewa,kuna vikao tutaitwa vina posho, tutapendelewa kufagia mtaa,kuna kazi nitapendelewa kuipata. wanafikira kuiba tu, na ndio maana hata mpaka sasa wanaonyesha maigizo ya kutumbuana wenyewe


Wewe usie Mpumbavu mbona umeshindwa kuzuia huo unaouita Wizi uliofanyika wakati Bunge likioneshwa Live kama Live Coverage kazi yake ni kuzuia wezi.

Hao Miungu yenu ya Ukawa si ilikuwa Bungeni wakati Ujenzi wa Daraja unaanza mpaka umekamilika na kila Mwaka report ya CAG inajadiliwa bungeni mbona hawajawahi kuuzungumzia huo Ufisadi?
CCM inatawala sio kwa kuwa ni Wazuri sana ila ni kwa kuwa Wapinzania wa CCM ni Wapumbavu.
 
Anatamba huyu kijini kwao,na kila anapopita wanamona yeye ndie msomi mkubwa,...wakuja wana shida sana.siku hizi umeacha kutembea km kadhaa kwenda kuchunga ng,ombe,umekuja town kusoma ukagoma kurudi kwenu.kumbuka ulikuja town na pensi na soksi mpaka magotini,leo ushakua mjanja eti unaandika watu wasome.wakuja shida tupu.
 
Mbali na yote hayo... hivi umeona approach roads na exchange zake?! Ambazo ni almost 3km?!
 
Gharama ya ujezi wa daraja la kigamboni ni Tsh bilion 218, na mkataba ulikuwa kwa exchange rate ya 1560 miaka mitatu iliyopita

anzia hapo kufanya mahesabu

kisha elezea gharama za ku import materials kutoka nje

then endelea na analysis yako
usidanganye suala la material huwa ni la mkandarasi mwenyewe
 
Kwa jinsi ninavyo ijua serikali ya Ccm, mradi mkubwa kama huo lazima kuna ujanja umefanyika. Kiuhalisia hizo gharama zipo juu sana, tuweke pembeni hisia zetu na mapenzi yetu kwenye vyama vyetu vya siasa kisha tulitazame hili kama watanzania na siyo wana Ccm au wana UKAWA.
 
Nataka nikuulize swali tu la kawaida ambalo haliitaji manamba kama yako.....ujenzi nyumba moshi utafanana na dar au mfuko wa cement arusha sawa na mtwara...gharama za ujenzi hutegemeana na upatikanaji wa malighafi ndiyo maana tunasema ujenzi wa nyumba ya tofali za mchanga dar ni rahisi kuliko moshi........Mimi nafikiri rudi darasani tena kajifunze hesabu za faida na hasara
 
Hata kama ndyo mimi nasimamia mradi huu niache kupiga hta kabilioni moja2. Ki uharisia pesa lazima zimepigwa ila zinapigwa kiakili sio rahc kugundua kwa hesabu za kiivyo.

Yani kiujumla miradi ya serkali pesa lazima zipigwe 2. Kuna mradi naufaham upo mwanza wa ofisi ya utumishi.
 
Hata mtambo wa kutengeneza uongo China ni bei nafuu kuliko Tanzania. Magari bei nafuu Japan kuliko Tanzania, vitu vya elektroniks huko vinakozalishwa ni rahisi kuliko Tanzania. Hata ndizi bukoba ni rahisi bukoba kuliko Dar es salaam. Kuku ni rahisi Singida kuliko Dar es salaam. Kitu chochote kina gharama ndogo na vinapatikana kwawingi kule vinakozalishwa kuliko sehemu ambazo havipo au havizalishwi hii ni akili kidogo tu ya uchumi. Kila mmoja afanye utafiti wake kwa kitu chochote ambacho hakizalishwi wala kutengenezwa Tanzania. Afanye utafiti mdogo huko nje kinapozalishwa kinapatikana kwa bei gani na huku kwetu ni shilingi ngapi halafu tazama propotional au ratio ikoje. Wakati mwingine tukatae kudanganywa na professional liars hata kama tunajua uongo ndio unaowafanya ndugu zetu hawa waishi.
 
Alafu kuna waliodumaa akili wanakuja hapa wanampigia makofi, ndio maana hataki bunge lionyeshwe ili yasitumbuliwe, hakuna mtu yeyote yuko CCM na sio mwizi hata mtu wa kaida ukimuuliza kwa nini anaiunga mkono, utasikia kuna tenda tetapendelewa,kuna vikao tutaitwa vina posho, tutapendelewa kufagia mtaa,kuna kazi nitapendelewa kuipata. wanafikira kuiba tu, na ndio maana hata mpaka sasa wanaonyesha maigizo ya kutumbuana wenyewe

Kama kutumbuliwa au kuufichua ufisadi kunawezekana tu wakati Bunge likioneshwa live basi yatufaa tupelekwe hospitali kwanza vichwa vyetu vikachekiwe vina matatizo kiasi gani.
 
Hilo daraja bora wangeliita DAU bridge.kuliita nyerere angali ni ufisadi mtupu ni kumdhihaki hayati baba wa taifa
Itakuwaje litwe Dau wakati in washirika wawili Nssf na Tanroad na Tanroad ndio wizara ya ujenzi
 
Wananchi walitaka daraja na wamelipata. Hayo mengine tumwachie Baba na mama.

Huu usemi wa "baba hakombi mboga"ndio umetufilisha hapa ,tuache wema wa mshumaa.Ni haki yetu kuhoji gharama halisi kwa sababu fedha zilizo tumika hapo zimetoka mifukoni mwetu wananchi..Habari ya hewala baba hapo sio pahala pake,tunataka uwazi hata kama tumekuamini.
 
Hata mtambo wa kutengeneza uongo China ni bei nafuu kuliko Tanzania. Magari bei nafuu Japan kuliko Tanzania, vitu vya elektroniks huko vinakozalishwa ni rahisi kuliko Tanzania. Hata ndizi bukoba ni rahisi bukoba kuliko Dar es salaam. Kuku ni rahisi Singida kuliko Dar es salaam. Kitu chochote kina gharama ndogo na vinapatikana kwawingi kule vinakozalishwa kuliko sehemu ambazo havipo au havizalishwi hii ni akili kidogo tu ya uchumi. Kila mmoja afanye utafiti wake kwa kitu chochote ambacho hakizalishwi wala kutengenezwa Tanzania. Afanye utafiti mdogo huko nje kinapozalishwa kinapatikana kwa bei gani na huku kwetu ni shilingi ngapi halafu tazama propotional au ratio ikoje. Wakati mwingine tukatae kudanganywa na professional liars hata kama tunajua uongo ndio unaowafanya ndugu zetu hawa waishi.


Mheshimiwa unaweza kuwa sahihi kabisa ktk mchango wako wa mawazo lakini nnaomba utoanishe hiyo hesabu hapo utaona gharama iliyoongezeka ina ukubwa utakao lingana na utofauti wa urahisi au gharama kwa hapa nchini kwetu?...Sababu nnaona ongezeko ni kubwa sana ukilinganisha na sababu ulizo zitoa Mheshimwa sana....
 
Back
Top Bottom