Sasa hili robot likijipigisha "shoti" wakati dushee liko ndani itakuwaje? Usalama wa "mlaji" umezingatiwa ipasavyo?


mkuu umewaza vyema kabisa😂 😂 😂 😂 😂Sasa hili robot likijipigisha "shoti" wakati dushee liko ndani itakuwaje? Usalama wa "mlaji" umezingatiwa ipasavyo?
Aisee! Huu mdoli umefanana na Mange Kimambi!



Aisee! Huu mdoli umefanana na Mange Kimambi!![]()


unautafuta ugomvi sio buremilion 33 halafu waweke mate, yakazi gani sasa?Ukisikia ule msemo, “ukitaka wako pekeyako, chukua mgomba uweke ndani ndo hiyooo...”
Mgomba wenye haiba na taswira ya binadamu.
Swali la kizushi, wakipigwa katerero wanarusha maji? Yanakuwa refilled baada ya muda gani? Yatakuwa na chumvichumvi?
Ukiwala denda wanatoa mate au yatatumika mate ya mwanaume.....
Ngoja nipumzishe maswali.
Nadhani wameweka bei kubwa ili kuepusha watu wasione uraisi kuwaacha wenza wao kwasababu ni affordableHigh price mzee ttzo , ingekua Chee naiman Kila mtu angekuwa nao
Hakyamama hili ni ajabu lingine la dunia, waliongeze tu kwenye yale mengine saba jumla yawe nane.
But she looks good, huku kwetu tunaita Pisi kali 😆
Ela ya kumnunua Harmony haiumi sababu unaitoa Mara Moja,Nadhani wameweka bei kubwa ili kuepusha watu wasione uraisi kuwaacha wenza wao kwasababu ni affordable
Huu mdori umeutengeneza wewe?
Hujikuskia kaomba hela ya chips au saloonEla ya kumnunua Harmony haiumi sababu unaitoa Mara Moja,
Kuliko vizinga visivyotabirika
Aisee watengeneze mengi tu. halafu shirika la msaada lisitishe kutoa kondomu za bure litupigie pande watuletee kama haya walau matatu tu tutawashukuru sana.
milion 33 halafu waweke mate, yakazi gani sasa?
Huyo kafungiwa software ya juice mdomoni
Hapa cha msingi ni kuomba lisogezwe lije africa tu maana hii ndiyo empaya ambayo manyemela tumoMkuu mimi ni member mtiifu wa CHAPUTA, niko active kwa miaka 21 sasa, naomba ufikishe ombi kwa wanachama wenzangu wanichangie hizo 33 Mil nitakuwa nashare nao siku moja moja![]()