Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Kwenye wimbo "anajikosha " alishasema siku hizi katoka mbezi yuko mbweni hamna hata haja ya ACAtakua kapata makazi mapya Harmo
Kwenye wimbo "anajikosha " alishasema siku hizi katoka mbezi yuko mbweni hamna hata haja ya ACAtakua kapata makazi mapya Harmo
Kama huu ni mjengo wake Basi jamaa amejitahidiLabda atakuwa amemaliza mjengo wakeView attachment 1755247
Tungekuwa tumeshawekewa insta story
hilo lingekuwa lake limeshawekwa insta stori na emoji ya iz loadingi🤣Kama huu ni mjengo wake Basi jamaa amejitahidi
Huo Mjengo kaujengea insta au facebook au WHatsapp status?Labda atakuwa amemaliza mjengo wake🐒View attachment 1755247
Daah maisha ya wasanii bhana , Ni diamond Tu alishawah onyesha nyumba yake madale na watu wakashuhudia....!! Wengine nafkr ni picha na kikiHuo Mjengo kaujengea insta au facebook au WHatsapp status?
Mbona una tabia za kichoko?Amefanya Uharibifu mKubwa Sana Kwenye Hyo Nyumba. Hata Baada ya Kupewa notisi na Mwenye Nyumba ya Kwenda Kukagua Nyumba akawa anapiga chenga Tu Kila Kukicha
Battle alizianza Runge akafa sembuse wewe mshamba tu. Battle za kwenye social media!? Ungekuwa kweli unajiamini ungeleta Jina lako na ujitokeze tukuone kama kweli unaweza battle.
soma hiyooo Josh JBwana mdogo nikushauri kitu kimoja cha msingi sana! Hata kama humpendi mtu,weka heshima kwake walau kidogo tu!
1. Ili upate wito wa kwenda serikali za mitaa,barua ya wito huletwa na mjumbe,ukiitwa kwenda kwenye baraza la ardhi la kata!
2. Jina la Rajabu ili watu wajue kwamba nani anaitwa,lazima aka yake ya Hamornize kwenye majina yake ingeweka!
3. Harmonize alihamaje usiku,bila ya majirani zake kujua kwamba huyu anahama? Unadhani Mbezi ni sawa na Tandale kwamba unaweza hamisha vitu vyako vyote kwenye Shangazi kaja? Mbona unakua na akili kisoda??
4. Nenda kajipange tena na tena,ndiyo urudi na porojo zako!
5. Hiyo Barua ni GAKA,nimewahi fanya kazi za mjumbe wa shina
Sent using Jamii Forums mobile app
pengine kaamua kuwa msiriTungekuwa tumeshawekewa insta story
hilo lingekuwa lake limeshawekwa insta stori na emoji ya iz loadingi
Acha uongo,kuna nyumba ya kisasaa siku hizi ina curtain box?Taarifa nilizonazo ni nwamba Msanii Harmonize Amehama alipokuwa Anaishi Kwenye Nyumba Ya Ghorofa Huko Mbezi Karibu Na Masana Hospital.
Mzee Mwenye Nyumba Yake Eng. Usiri amelalamika Kwamba Msanii Huyo Amehama usiku kwa Kuhamisha Vitu vyake Vyote Ndani Mpaka akachukua na Curtain boxer, Mpaka Sasa Msanii Huyo anatafutwa na Eng. Usiri Hili alipe Kodi yake ya Miezi 6, na pia amefanya uharibu mKubwa Ndani Ya Hyo Nyumba.
Sema ww kuku nikisema mimi bata naharishaAibu nimeona Mimi
Ku keep up na maisha ya kimjini mjini ni gharama sana.. Hawa wasanii wanapata hela nzuri tu ila shida matumizi yao na lifestyle wanayoishi..Ivi kwann hawajengag hawa kiwanja uko boko madale ama bunju kigambon kwa 10m unapata cha maana kabisa sqm ata elf moja na kitu na nyumba ata 30m ina simama apa ndo uwa mashaka na hawa wasanii wetu yan mtu anaingiza ata 100m kwa mwaka anashindwa kujenga mfanyakaz wa lak 5 anajenga kwa mkopo
A
Aya mauongo sijui uwa ya nn aiseeKu keep up na maisha ya kimjini mjini ni gharama sana.. Hawa wasanii wanapata hela nzuri tu ila shida matumizi yao na lifestyle wanayoishi..
Hawa mademu wa kimjini mjini ndio wanachakata pesa hata uzalishe vipi hutafanya lolote la maendeleo. Wasanii wetu wanatumia gharama kubwa sana kwa PR za kishenzi shenzi tu ili wajilandishe thamani yao.
Kama huyu Konde, kwa mama yake kijijini kashindwa hata kumjengea nyumba ya maana na kumvutia umeme. Kinyumba cha kawaida hata rangi hakijapakwa, umeme hajavutia kumwekea solar sijui. Sasa uwakute mjini wanakimbizana na slay queen's unaeza sema ni mabilionea.
Na hii sio kwa Konde pekeake. Hata huko Wasafi nako ni njaa tu na PR zisizo na msingi. Huyo diamond juzi anadanganya watu eti kasign deal ya Billion 10, hivi usign Billion 10 mama yake angekuwa anaenda kuuza vitenge na madela pale Sinza??