Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 6,998
- 8,918
Atafungishwa ndoa na mchungaji bilionare shila au mc pilipili.Hata kama akibadili hawezi funga ndoa na mwanamke aliyekuwa kwenye ndoa yake teyari haipo kwenye ukristu unless her previous husband die. Atafumhishwa ndoa na mchungaji feki labda who knows.