The Clinic
Senior Member
- Sep 11, 2019
- 117
- 327
Aseeh!!Kesha unafanya kazi,
siyo ukeshe unaomba Mungu, ambaye kiuhalisia hayupo.
Mara mia ukeshe usiku kucha unamuomba mwanadamu mwenzako, atakupa msaada.
MOD JF katika jambo jema na lenye Thawabu mbele za Allah ni KUMTOA huyu mtu humu. Kama anatolewa mtu kwa kumtukana Mwanadamu je kwa Mungu wako inakuaje. USIKUBALI HUMU JF MWANADAMU AMTUKANE MUNGUKama ulimbukeni unanisumbua, ni jambo jema.
Na kama sijapata matatizo makubwa ya duniani, ni jambo jema sana.
Na kama napotea pia ni jambo jema mno!
Nikipotea au nisipo potea, haupati faida yoyote.
Labda tu ili nipotee vizuri, itoshe kusema mungu hayupo. Na kama yupo, basi ni mshenzi.
Kiburi cha pumzi hiki,yakikufika shingoni utaanza kuomba msaada wake.Kesha unafanya kazi,
siyo ukeshe unaomba Mungu, ambaye kiuhalisia hayupo.
Mara mia ukeshe usiku kucha unamuomba mwanadamu mwenzako, atakupa msaada.
Biblia ipo wazi.Maandiko yote ni michongo ya wazungu hakuna cha ziada. Swali wali waliokufa kabla ujio wa ukristo kupitia wamisionari na uislam kupitia waarabu na biashara ya utumwa. WATAHUKUMIWAJE
Ni muda sahihi sasa dini nazo zithibitishe uwepo wa Mungu ili kuondoa sinto fahamu kwa baadhi ya wanadamu.Sasa unasema Mungu hayupo pumzi unayovuta unaitoa wapi, na si ajabu hiyo pumzi akaichukua mda huu, watu wakikusanyika huku wakisema marehemu tulikuwa naye jana tu leo hatunaye,
hiyo pumzi siku akihihitaji ndo utajua kuwa yupo, siku akimtuma malaika mtoa roho ukiwa umetazamana nae face 2 face kwa mara ya Kwanza akiichomoa roho yako na kusepa nayo akiipeleka kwa Muumba.
Sasa hapo hatuwezi kuilaumu dini badala yake alaumiwe huyo mja.kwasababu dini zote zimehimiza kutafuta maarifa na riziki kusoma ni miongoni mwa hizo Njia.Wameaminishwa kua ukiwa upande wa yesu unakua na thamani kuliko elon max mwenye billions of dollars.
Hiyo imewajengea spirit ya utegevu na kujiona wao ndio bora kuliko wengine, huku wakijikuta wana invest muda wao mwingi kwenye majumba ya ibada na kupuuza shughuli za utafutaji pesa
Kuna mwamba mtaani aligoma kumpeleka mtoto wake shule, mtoto alipofika darasa latatu akamtorosha akampeleka madrasa
Na mchizi anajigamba kua ilmu akhera ndio tunu na kwa kitendo hicha cha kumtorosha mtoto wake tayari kapata thawabu
Source ya haya yote ni UJINGA
Nimeogopa sana kwa hii statement yako.Kesha unafanya kazi,
siyo ukeshe unaomba Mungu, ambaye kiuhalisia hayupo.
Mara mia ukeshe usiku kucha unamuomba mwanadamu mwenzako, atakupa msaada.
Tena laana ya vizazi na vizazi.Laana juu ya laana.
Injili ya Mathayo Sura ya 7Konde Gang, msanii wa Bongo Flava ameuliza kwenye wimbo wake wa dunia, kuwa ni kwa nini watu wanaokesha kusali misikitini na makanisani wana hali mbaya kiuchumi, wana maisha mabovu, hawapati baraka ambazo Biblia na Quran imeahidi kwa waumini wake, kama ambavyo Wayahudi na Waarabu wa kale walivyopata?
Anauliza kuwa ni kwa nini kila kitu kizuri kinaitwa ni cha shetani?!
Haya wanajamvi tumjibu!
Majibu anayo nay wa mitegoKonde Gang, msanii wa Bongo Flava ameuliza kwenye wimbo wake wa dunia, kuwa ni kwa nini watu wanaokesha kusali misikitini na makanisani wana hali mbaya kiuchumi, wana maisha mabovu, hawapati baraka ambazo Biblia na Quran imeahidi kwa waumini wake, kama ambavyo Wayahudi na Waarabu wa kale walivyopata?
Anauliza kuwa ni kwa nini kila kitu kizuri kinaitwa ni cha shetani?!
Haya wanajamvi tumjibu!
Biblia ipo wazi.
watahukumiwa kwa dhamili zao.
NimekuelewaKesha unafanya kazi,
siyo ukeshe unaomba Mungu, ambaye kiuhalisia hayupo.
Mara mia ukeshe usiku kucha unamuomba mwanadamu mwenzako, atakupa msaada.
Naunga mkono comment yako.Hizi dini zimekuja kuchota ubongo wetu hapa AfricaKesha unafanya kazi,
siyo ukeshe unaomba Mungu, ambaye kiuhalisia hayupo.
Mara mia ukeshe usiku kucha unamuomba mwanadamu mwenzako, atakupa msaada.
You are totally wrong, unajua pumzi kakupa nani? Unajua kuna magonjwa mazito ya ajabu yasiyo na tiba duniani, ambayo ukiumwa utatumia hela mpaka senti tano yako ya mwisho na kubaki masikini? Nani anakuepusha nayo? Hivi unajua ndani ya mwili wako unaishi with lots of bacteria? Unafikiri anashindwa kuwaamuru wakuminye kidogo ujiharishie? Usicheze kabisa na Mungu kaka, hachezewagi huyu. Jitathmini!Mungu Kama yupo au kama hayupo, mimi hainihusu!
Huyu Mungu hanisaidii kwa chochote, wala hanisaidii kwa lolote!
Maisha yangu hayahitaji wala hayategemei Mungu.
Na Mimi nakwambia utakufa na hutakutana na kiumbe chochote kinachoitwa Mungu hizo ni hekaya za Assyrian, Sumerian, Babylon, Egyptian hazina ukweli wowote hao mnaowaita Mungu ni jamii za Annunaki wa kale ni pale watu wa kale wakashindwa kujua nao ni viumbe wa kawaida kama walivyo wao ila wanatoka garaxy za Mbali huko wakaamua wawaite Mungu Hata Babu yenu wa bandia Abraham baba ya Wayahudi aliwaahusudu kama miungu viumbe Hao Kwa sababu nae alitokea Kwenye jamii za waashuru wa kale waliocollaborate na viumbe hivyo na vikawapa ujuzi na maarifa ya Hali ya juu na wakianzisha civilization za kale,Leo nyie mmekopi hekaya hizo za kina ibrahim na kuzimeza kama zilivyo mkidhani Kila mtu ataendelea kua mtumwa na mjinga
Hapana nimeamka haabudiwi kiumbe yeyote hapa Mimi ndie Mungu mkuu wa maisha yangu!
You are totally wrong, unajua pumzi kakupa nani? Unajua kuna magonjwa mazito ya ajabu yasiyo na tiba duniani, ambayo ukiumwa utatumia hela mpaka senti tano yako ya mwisho na kubaki masikini? Nani anakuepusha nayo? Hivi unajua ndani ya mwili wako unaishi with lots of bacteria? Unafikiri anashindwa kuwaamuru wakuminye kidogo ujiharishie? Usicheze kabisa na Mungu kaka, hachezewagi huyu. Jitathmini!