Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,652
- 5,133
Naona Jaden Smith Kapita nayo huko,je harmo amefeli wapi.
huku yupo ??😄😄😄Mtag atajibu mkuu
Sasa kama hayupo utajuaje aliishia wapi mkuu?😆huku yupo ??😄😄😄
Media mkuu hapa kama nipo ubao wa matangazo inaweza kumfikiaSasa kama hayupo utajuaje aliishia wapi mkuu?😆
Kwa sasa nimejiunga na CHAUMAUnataka chakula?
Ndio nani huyo huko Dar!?Naona Jaden Smith Kapita nayo huko,je harmo amefeli wapi.
Sera yetu 😄,nimejaribu kuwakumbuka baadhi ya wadauSasa mbona unauliza chakula?
sawa mkuuThat was marketing strategically maana kutoka WCB na kuendelea kusikika it was not easy .
Alihitaji kukaa katika limelight
😄😄😄😄Ngoja nimtag😆
Cc Harmonize wa Jf
Kumbe kapo humu😆Ngoja nimtag😆
cc Harmonize wa Jf
Harmo wa MchongoKumbe kapo humu😆
Katika wasanii waongo yule jamaa kazidi.Na alikuaga na project ya kufungua Radio pia. 😂.
Vijana haya mambo sijui huwa wanayachukuliaje yani!??