Harmo Rapa ni nani?

Harmo Rapa ni nani?

poisson

Senior Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
130
Reaction score
42
Harmo rapa nimechoka na kiki za kijinga athibishe kuwe yeye rapa mkali aache kiki go to hell Harmo rapa.

Kila mtandao ukiingia harmo rapa kafanya hivi. Afu hana hata hit song au sikuhizi na wapiga kiki nao ni marapa na ni nitakuwa rapa

NB: WENYE WIMBO WA HARMO RAPA TUJUDGE KAMA YEYE NI RAPA AU MANENO NA KIKI
 
Hiv huyoo jamaa ana nyimbo? Kama anayo ebu iwekeni hapa niisikilizee..
 
Harmo rapa nimechoka na kiki za kijinga athibishe kuwe yeye rapa mkali aache kiki go to hell Harmo rapa.

Kila mtandao ukiingia harmo rapa kafanya hivi. Afu hana hata hit song au sikuhizi na wapiga kiki nao ni marapa na ni nitakuwa rapa

NB: WENYE WIMBO WA HARMO RAPA TUJUDGE KAMA YEYE NI RAPA AU MANENO NA KIKI
na wewe unaongeza uzi zake
 
Harmo rapa nimechoka na kiki za kijinga athibishe kuwe yeye rapa mkali aache kiki go to hell Harmo rapa.

Kila mtandao ukiingia harmo rapa kafanya hivi. Afu hana hata hit song au sikuhizi na wapiga kiki nao ni marapa na ni nitakuwa rapa

NB: WENYE WIMBO WA HARMO RAPA TUJUDGE KAMA YEYE NI RAPA AU MANENO NA KIKI
We jamaa hata usisikilize wimbo wake utacheka anakuambia uthinipe pathi ani jamaa ana kithembe hajui kuimba kiukweli
 
Ukitaka uwe maarufu saizi bongo, we iponde tu WCB
 
wasanii siku hizi ni wengi wengine hawajulikan vile...................................................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom