Hard working woman

Ana raha sana, wanawake wanaoleta mahela halali home nani hawataki?
Kongosho ataakye kuona wewe na King'asti atafurah sana manake mlivyo tu mmejisheleza hata ukipania kumiliki ndege you can make it happen. i love it ila tu wanaume watakao waoa watakuwa ni wale smart boys........
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wa zamani wanachapa kazi sana,,

Nimekua maisha ya mama ana kazi nzuri tu kiasi chake lakini sijawahi kuona akilipa ada au kufanya manunuzi yeyote makubwa... Ikifika muda wa kwenda shule anawakumbusha andaeni orodha ya mahitaji mumpe mzee haraka maana ana mambo mengi... Tena unakuta anachokoza wakati tupo kwenye chakula cha jioni mzee anabaki anaguna tu,,

Kuna siku dada yangu alimuuliza mama hela zako zinafanya nini akamjibu ndo hizo hizo zinazolipa ada, kujenga na mambo yote ila mzee ndo anazi control so huwa tunapeana wenyewe kisiri siri lakini mzee ndo anapaswa ku distribute kwenu mi nabaki na hela ya chakula na mahitaji madogo madogo ya familia...

Ila sisi kizazi cha dot com kila mtu mjanja,,, so cost sharing haiepukiki tena kwa kukabana kabana..

I real like Arabs lifestyle Mke anabaki nyumbani au anashinda dukani tu huku kapendeza,, mume ndo anachakarika kila kitu kiende sawa na wanaishi kwenye ndoa miaka mingi bila kukwarudhana,,,

Most of my friends wa kiarabu wamekuwa katika familia zisizo na mgogoro hata kidogo yaani zile za full bata,, na mama zao wavivu wanajua kupika tu na kupaka hina lakini waume zao wanachapa kazi wanahakikisha familia inaishi maisha mazuri, mke anendesha flashy cars, mahitaji kwenye malls, etc yaani mke ni full matunzo,

But wanaume wa kibongo kumtunza mwanamke tunaona kama tunampendelea na wake zetu wa kibongo wamekaa kisanii sanii ndo maana wanaachiwa majukumu maana ukimsaidia hachelewi pesa zake kuonga kina mario
 
Ngoja nitafakari, hard working au mazoea?

'Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo'

Hii naiangalia zaidi kama ni athari ya makuzi mtu aliyopitia
Mfano, unakuta mdada tangu utotoni kazoezwa kuwa 'responsible' kwa vitu vilivyo ndani ya uwezo wake
Hata akiolewa tabia ile inaendelea, mfano hata kama mmewe ni mkurugenzi na mke ni Mwalimu wa shule ya msingi, utakuta mama akipata mshahara tu, basi ka shopping ka jikoni hasahau.
Wakati anajua fika kuwa hata gari anayotumia kwendea kazini ni mmewe anai-service kkila kitu hadi mafuta, ila mwanamke wa aina hii ile moyo wa kuwajibika uko ndani yake. Hujawahi ona hii?

Mwanamke huyu huyu akiolewa na mwanamme mwenye kipato sawa, akibahatisha mwanammme aliyekuzwa kwa kuwajibika pia, basi utakuta aina ya familia yenye ushiriakiano kama siafu. Kipato kinawekwa mezani, kila mtu na majukumu yake, maisha yanasonga.

Balaa linakuja pale mwanamke wa aina hii anayekutana na mwanamme mwenye aidha kipato sawa ila hakulelewa kwenye mazingira ya uwajibikaji. Mwanamme wa aina hii akiona mkewe ananaunua sukari tu na vitumbua yeye anaona wameshamaliza maisha na anaona kama mkwewe ni 'Newton' nikimaanisha anaweza kufanya yasiyowezekana.
NA kama mwanamke huyu akiolewa na mwanamme anayemzidi kipato, hawezi subiri mmewe alete vitu ambavyo mke anajua kabisa anaweza fanya mwenyewe. Basi unakuta mme anategea kila kitu hatimaye anajiondoa kwenye majukumu ya familia.

Hii ni athari ya malezi zaidi, ku-take responsibility, na kama uko dizaini hii hata ufanyeje ngumu sana kubadilika hasa unapojikuta unaishi na 'mzembe', inatia kero kumkumbusha mtu mzima kila siku, baba fulani hela ya mboga, baba fulani ada ya watoto, baba fulani kodi ya nyumba. Kama una vihela unajikuta unafanya kimya kimya tu.
 
Opps, hapo blue, ndo mnafanya socialization kwa jinsi hii?


Mie kuna siku nilikuuliza, je ukiolewa na Baresa unaacha kazi uwe pika pakua?

yeye kasema her brain works good if she makes things happen. so hata kwa baressa anaweza akawa ndiye mkanda unga wa chapati ama mwoka mikate unamtania halafu uzuri wa jembe hili halichagui shamba bana yani popote pale linapiga tu.
 
He he he, usikute napiga misele tu mjini

Ila kutimiza wajibu inakupa aina fulani ya 'maana ya maisha'
Kuishi bila majukumu nacho ni kipaji, si kila mtu anaweza.

Kongosho ataakye kuona wewe na King'asti atafurah sana manake mlivyo tu mmejisheleza hata ukipania kumiliki ndege you can make it happen. i love it ila tu wanaume watakao waoa watakuwa ni wale smart boys........
 
Owkay, kuna wamama huwa wanasema, 'mie sichangii chochote nyumbani kwangu, mme wangu ana hela zaidi yangu'


Unakuta anayesema hivyo ni mtu na kazi yake tu ya maana na anamiliki labda kadegree kamoja, sasa naaki najiuliza, unaweza ishi bila majukumu kabisa?

yeye kasema her brain works good if she makes things happen. so hata kwa baressa anaweza akawa ndiye mkanda unga wa chapati ama mwoka mikate unamtania halafu uzuri wa jembe hili halichagui shamba bana yani popote pale linapiga tu.
 
Mwalimu
images


Pamoja na kuwa nimeajiriwa lakini ni mjasiriamali pia,
Ujasiriamali siyo lelemama inatakiwa kujituma haswa,
kama mama ambaye niko na watoto wangu 4 nina hakika
ya kutengeneza hela nzuri tu nje ya salary.

I wish wamama wote wangejituma maisha yasingesumbua
but wamama we should work hard.
 
Ngoja nitafakari, hard working au mazoea?

'Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo'

Hii naiangalia zaidi kama ni athari ya makuzi mtu aliyopitia
Mfano, unakuta mdada tangu utotoni kazoezwa kuwa 'responsible' kwa vitu vilivyo ndani ya uwezo wake
Hata akiolewa tabia ile inaendelea, mfano hata kama mmewe ni mkurugenzi na mke ni Mwalimu wa shule ya msingi, utakuta mama akipata mshahara tu, basi ka shopping ka jikoni hasahau.
Wakati anajua fika kuwa hata gari anayotumia kwendea kazini ni mmewe anai-service kkila kitu hadi mafuta, ila mwanamke wa aina hii ile moyo wa kuwajibika uko ndani yake. Hujawahi ona hii?

Mwanamke huyu huyu akiolewa na mwanamme mwenye kipato sawa, akibahatisha mwanammme aliyekuzwa kwa kuwajibika pia, basi utakuta aina ya familia yenye ushiriakiano kama siafu. Kipato kinawekwa mezani, kila mtu na majukumu yake, maisha yanasonga.

Balaa linakuja pale mwanamke wa aina hii anayekutana na mwanamme mwenye aidha kipato sawa ila hakulelewa kwenye mazingira ya uwajibikaji. Mwanamme wa aina hii akiona mkewe ananaunua sukari tu na vitumbua yeye anaona wameshamaliza maisha na anaona kama mkwewe ni 'Newton' nikimaanisha anaweza kufanya yasiyowezekana.
NA kama mwanamke huyu akiolewa na mwanamme anayemzidi kipato, hawezi subiri mmewe alete vitu ambavyo mke anajua kabisa anaweza fanya mwenyewe.

Hii ni athari ya malezi zaidi, ku-take responsibility, na kama uko dizaini hii hata ufanyeje ngumiu sana kubadilika hapa unapojikuta unaishi na 'mzembe'

umesema vyema Kongosho ila unajua kwamba kuna watu ambao wameumbwa tu hivyo?? yaani ten aunamkuta sio mtu mwenye gubu wala nn na hata utafute kosa gani kwake hulipati kabisa.

ukija kwenye ku care na kupenda ndo wa kwanza manake hata akiwah kurudi job atatangulia home kukusubiri urudi ili mtoke lakin inapokuja kwenye kujituma kimaendeleo hayupo kabisaaa.

mfano unakuta labda kuna kazi ya kufanya mama unasema basi ngoja mie nikope tufanye haya, kweli unakopa mnafanya yeye mwenzio ingawa anajua na mshahara wako umekopea bado kuona ana wiwa kutoa kwaajili ya mambo mengine haipo akilini mwake. na kutwa kucha atakusifia na kuppreciate kwa uliyoyafanya.

kuna shoga yangu mmoja kweli hadi anauguza ndugu wa mume mwenye ndugu hastuki kabisaa ila kila siku wanamigia simu kumshukuru kwa jinsi ambavyo shemeji anajitoa kuwasaidia kwenye ugonjwa sasa hivi huyu baba hajiulizi mke wangu anapata wapi hizi hela?? ama aseme ngoja basi na mm nimsaidie wife kwa hii kidogo??

anyways mie huwaga nasema kam shida ni hela ai will solicit mine kwani upendo na amani uliopo unatosha
 
Last edited by a moderator:
3. Wamama Wanyamwezi na wamanyema! Kutwaaa pesa yote kusaidia nduguzo. Hata hamuendelei wewe ndo umejitwisha familia yenu mazimaaaa! Haihusu kabisaaaa. Pesa zote watuma nymbani!!!

hahahahaaaaaaa!! lara 1 mie umenikosha hapo namba 3 heheheheee umenigusa weeeweeeeee!!!
 
Last edited by a moderator:
Mwalimu
images


Pamoja na kuwa nimeajiriwa lakini ni mjasiriamali pia,
Ujasiriamali siyo lelemama inatakiwa kujituma haswa,
kama mama ambaye niko na watoto wangu 4 nina hakika
ya kutengeneza hela nzuri tu nje ya salary.

I wish wamama wote wangejituma maisha yasingesumbua
but wamama we should work hard.

thanks mamiii.
happy valentine too.

nimependa sana ulichosema kwamba tukifanya kazi basi hatutasumbuka kwa kipato. mie nakubaliana na wee kabisa na imefika mahali akina mama tuone sasa tuamue kubadiika mambo ya kutegemea hawa wanaume ni sterss tupu. tuhangamshe akili mie sion haya kuuza chapati na mikate kwangu kama kwa baressa na maji ya ice cream uongo maisha unayasukuma ingawa hayajafika pale ninapopataka
 
Owkay, kuna wamama huwa wanasema, 'mie sichangii chochote nyumbani kwangu, mme wangu ana hela zaidi yangu'


Unakuta anayesema hivyo ni mtu na kazi yake tu ya maana na anamiliki labda kadegree kamoja, sasa naaki najiuliza, unaweza ishi bila majukumu kabisa?

dah! hyu mmama anayesema yeye nyumban kwakke hachangii chochote simwelewi kabisa.

hata kama huzzy anakipato kuliko wewe lakin unapaswa uonyeshe kwamba unaishi. sasa kama hela yako ni kwaajili ya kuvaa na kujiremba tu si bora ukae nyumban tu.
 
lara 1 again,

yaani haya uliyoongea lara ukisema ukayafanye humo ndani wanao very soon watavimba utapiamlo. uzuri jamani mtasema hivyo hujakuwa ndani ukiwa ndai kwanza hutaelewa kumwona mwanao haendi shule kisa kakosa ada, ama hali kisa hakuna chakula na hii ndio hali halisi ya maisha ya ndoa.

muulize mama lara atakuambia kwamba muda miwngine alishindwa kuvaa vzr ili nyie msome na kula na mtibiwe na hapo so kwamba baba lara hayupo ama wamegombana hapana lkn hatoi tu.

tena ujue kwa wanwake wengi wanaojitambua kuomba hela kwa waume zao ni kitu kigumu sana sana sasa unamkuta mtu anaona kabasaa hapa pana tatizo lkn hadi uombe hela ya kutatulia why?? basi mtu kama mm siombi nafanya niwezavyo ishu ipite basiiiii. ndani ni tofauti sana na haya ambaayo huwa tunatamanai yawe hivyo


Mama Lara hatoi hata senti tano. Alitoaga tu kipindi cha mpito wakati mwenzie hayupo kakwama nchi za watu! Ila kama yupo ndani hatoi!

Kuna majukmu keshajipangia ndo anatoa, na mengine ni ya mdingi. Akishafanya vyake baaaaaaaaass.

Tumerudishwa ada si mara moja au mbili. Kama tano hivi. Akikuona nyumbani anakwambia ongea na baba yako uzuri, masomo yanakupita kule! Namwambia baba hana! Atapata tu, usiwe na wasiwasi, atapata tu mwanangu mzuri!

Ananiambia hata mimi, usiwe na roho nyepesi, wanaume hawa bila kuwakazia hutowaweza kabisaaaaa! We mtu anafanya kazi na business inakuwaje hana hela za kulisha familia? Ujanja ujanja tu huo!
 
He he he, usikute napiga misele tu mjini

Ila kutimiza wajibu inakupa aina fulani ya 'maana ya maisha'
Kuishi bila majukumu nacho ni kipaji, si kila mtu anaweza.
simwelewi mtu anyeish pasi majukumu kabisa halafu ni mzazi.
pia simwelewi zaid yule ambaye maisha yake yote hataki kupata shida ili akue hyu nae ni mgonjwa tena wa kulazwa nafkiri
 
Mama Lara hatoi hata senti tano. Alitoaga tu kipindi cha mpito wakati mwenzie hayupo kakwama nchi za watu! Ila kama yupo ndani hatoi!

Kuna majukmu keshajipangia ndo anatoa, na mengine ni ya mdingi. Akishafanya vyake baaaaaaaaass.

Tumerudishwa ada si mara moja au mbili. Kama tano hivi. Akikuona nyumbani anakwambia ongea na baba yako uzuri, masomo yanakupita kule! Namwambia baba hana! Atapata tu, usiwe na wasiwasi, atapata tu mwanangu mzuri!

Ananiambia hata mimi, usiwe na roho nyepesi, wanaume hawa bila kuwakazia hutowaweza kabisaaaaa! We mtu anafanya kazi na business inakuwaje hana hela za kulisha familia? Ujanja ujanja tu huo!

basi mama yako ana moyo wa tofauti. binafsi mama yangu tuikuwa tukirudishwa anaumia sana na alikuwa halali hadi apate ada na twende shule.

baba alikuwepo lkn binafsi sijaona alichokitoa ukilinganisha na mama na walikuwa wanapenda had leo so to me nilijua kabisaaa mama ndo mwenzeshaji wa maisha mengine ya ndani hata kama baba ndiye msimamizi.

tena siku watu tuna graduate baba anapewa sifa zote kasomesha watoto ila ukweli mama ndo anajua na sisi. binafsi sionagi manitiki ya kumwambaia mtu naomba hela ya ada ya watoto kwan hawaoni?? kwann nimwambie?? kwanza naanzaje kumwambia?? kwann asisieme ada hi hapa??
 
Ndio, nakupata

Kuna watu wema kabisa lakini hawezi kujituma
Unakuta na yeye ana kipato lakini hachangii kabisa


Mie ndio huwa narudi kwenye malezi yake

LAbda alizoezwa kufanyiwa kila kitu?
Kwa hiyo hakujifunza kushiriki majukumu

umesema vyema Kongosho ila unajua kwamba kuna watu ambao wameumbwa tu hivyo?? yaani ten aunamkuta sio mtu mwenye gubu wala nn na hata utafute kosa gani kwake hulipati kabisa.

ukija kwenye ku care na kupenda ndo wa kwanza manake hata akiwah kurudi job atatangulia home kukusubiri urudi ili mtoke lakin inapokuja kwenye kujituma kimaendeleo hayupo kabisaaa.

mfano unakuta labda kuna kazi ya kufanya mama unasema basi ngoja mie nikope tufanye haya, kweli unakopa mnafanya yeye mwenzio ingawa anajua na mshahara wako umekopea bado kuona ana wiwa kutoa kwaajili ya mambo mengine haipo akilini mwake. na kutwa kucha atakusifia na kuppreciate kwa uliyoyafanya.

kuna shoga yangu mmoja kweli hadi anauguza ndugu wa mume mwenye ndugu hastuki kabisaa ila kila siku wanamigia simu kumshukuru kwa jinsi ambavyo shemeji anajitoa kuwasaidia kwenye ugonjwa sasa hivi huyu baba hajiulizi mke wangu anapata wapi hizi hela?? ama aseme ngoja basi na mm nimsaidie wife kwa hii kidogo??

anyways mie huwaga nasema kam shida ni hela ai will solicit mine kwani upendo na amani uliopo unatosha
 
dada kama umeyagusa maisha ya dada mmoja na so called mume wake, leo umenifumbua macho nilikuwa sioni nahisi naona. ni kweli wanafanya malavidavi but majukumu yote ni yako wewe(mama).
but huyo dada ameshindwa amemwambia tafute kipato aje wasaidiane sio kumtegemea yeye tu alikuwa anasaidia hadi ndugu zake huko kijijini kwao.

Wananume wasasa ni wavivu wanapenda kuletewa sijui wakoje, na wapo wanawake wengi wanalea familia wanaficha kuogopa aibu, wakati umefika wanawake tuamke .
 
Basi una moyo kama wangu

Siwezi mwambia mtu alipe ada, kwani yeye hajui? Anajidai bize na nini? KAma hawezi kumbuka ada ya watoto?
akisahau ni kulipa tu, afu unaskia ungeniambia. Nabaki na swali, huo ubize wee unautoa wapi wa kusahau ada?

tena siku watu tuna graduate baba anapewa sifa zote kasomesha watoto ila ukweli mama ndo anajua na sisi. binafsi sionagi manitiki ya kumwambaia mtu naomba hela ya ada ya watoto kwan hawaoni?? kwann nimwambie?? kwanza naanzaje kumwambia?? kwann asisieme ada hi hapa??
 
yaani atakaye waoa kingasti na smile ana kazi ,nampa pole
atakuwa amebarikiwa kuliko wanaume wote duniani? kama unategemea ulale ,uuze sura,uje ugombanie mkorogo wangu asubuhi dressing table mimi nikulishe na wanao mjini hapa utasubiri sanaa
familia ina budget kubwa,kwa mshahara gani ninao hadi nije kujipachika majukumu milioni nife kabla ya muda kisa mwanaume? au unataka niwe nat.....
akuuu babu mniwache nipwumue!
 
Back
Top Bottom