NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Salama wakuu
Ni mwaka wa tano sasa natumia hard disk bila kuibadili, tena yaweza kuwa ni mwaka wa nane maana hata laptop ni hizi za Kariakoo refurbished zimeshatumika ulaya na marekani.
Mwaka 2018 nilibadili laptop nikahamishia kila kitu kwenye hard disk ya laptop mpya yenye TB 1, hii hard disk naitumia hadi sasa.
Niliwahi kubadili laptop mwaka 2021 nayotumia hadi sasa lakini hard disk yake niliitoa nikaiweka ile ile ya tangu 2018.
Nimeona niulize kama pana usalama wa kuendelea kuitumia maana ni mwaka wa 5 huu.