Ndugu wadau wa lugha, kuna hili swala la illegal immigrants kuitwa wahamiaji haramu kwa lugha ya Kiswahili.
Nadhani kinyume cha haram ni halali. Kwahiyo dhana ya kuwaita watu hawa haramu ni kutowatendea haki. Lazima liwepo neno lenye kufanana na illegal na si unyanyapaa wa haramu. Bora wahamiaji wasiokubalika/wazamiaji/wasio na vibali lakini si unyanyapaa wa haramu.
Nawasilisha!
Nadhani kinyume cha haram ni halali. Kwahiyo dhana ya kuwaita watu hawa haramu ni kutowatendea haki. Lazima liwepo neno lenye kufanana na illegal na si unyanyapaa wa haramu. Bora wahamiaji wasiokubalika/wazamiaji/wasio na vibali lakini si unyanyapaa wa haramu.
Nawasilisha!