samanya
Member
- Feb 1, 2011
- 48
- 6
Askofu aliendesha harambee kuchangia ujenzi wa kanisa. Wakristo wakatoa Tshs 750,500 tu. Ghafla majambazi wakateka kanisa na kuamrisha kila mtu atoe alichonacho! Wakakusanya Tshs8,945,800 na kumkabidhi askofu ili aendeleze ujenzi. Je majambazi wana dhambi au wakristo wanathawabu? Toa maoni yako.