Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,289
- 2,472
Wanatembea Na Credit CardUkisikia kuisoma no ndio huko msafara wa viongozi wa serikali wameshindwa kukusanya hata laki? ina maana walikuwa wanatoa jero na buku. hapa kazi tu.
Wanatembea Na Credit CardUkisikia kuisoma no ndio huko msafara wa viongozi wa serikali wameshindwa kukusanya hata laki? ina maana walikuwa wanatoa jero na buku. hapa kazi tu.
Tsh 125/=Yeye alitoa ngapi hapo?
Kwani amekwambia hagombei mwaka 2020? Lazima aweke mambo sawa jimboniHuyu prof. Ni mchangiaji mzuri tu, kule kwao amenunua ambulance ambayo haipatikani mikoa mingi hapa tz.
Rafiki saa hizi serikali haitabiriki unaweza kujitia unamwaga mapene ukajikuta matatizoniKwanini hakwenda na washirika wake wote wa ESCROW kama vile hela za mboga,zawadi n.k? asisee hawa jamaa wana dhambi fote kweli haki ya Mungu kama ni kweli wamelaaniwa watu hawa na watu wote waseme Amin.
Alitoa buku 7Yeye alitoa ngapi hapo?
Ama kwel chadema imewashika pabaya maan c kwakuwawaza hukuWEWE NI MUONGO MKUBWA KABSA..........unakumbuka kipindi cha tetemeko la KAGERA Ulituwekea uzi humu y KUWA edo YUPO SAFARINI kuelekea KAGERA ili hali yupo safarini kuelekea KAGERA YA monduli kule KENYA......Afu tangu lini nyumbu wa CHADEMA akawa na NDIMI moja??????????
My watakuita mchocheziMisaada kutoka Kenya na zile dola kutoka kwa Museveni zimepotelea wapi au ndo washapangia shughuli nyingine..??
Na mtetemoAlitwambia akishindwa jambo nchi inatikisika. Angalieni asisababishe mtikisiko/mtetemeko.
5000maxYeye alitoa ngapi hapo?