Harambee ya Prof. Muhongo yapatikana Tsh 40,000 tu

Harambee ya Prof. Muhongo yapatikana Tsh 40,000 tu

Shida kubwa ni serikali imekusanya hela ambazo waliomba kwaajili ya maafa kwann hazipelekwi mahali husika?wanadai utafit unaendelea wakat watu wanakufa na njaa kule
 
Prof alikuwa anawatania watani zake
Mara na Kagera ni watani wa jadi
 
hapo wamejifaragua baada ya kuona aibu walivyoambiwa kuwa misaada haijawafikia wahanga wakaona wajisachi vijisenti vyao vya kununulia vocha.
 
Hali tete mkuu kipindi cha vasco hela ingepatikana nyingi tu
 
Bukoba vijijini na misenyi wanapewa maharage sukari na biscuit..
 
Nafikiri unajua kazi yangu haitaki utani niko kwajiri yakuhabarisha Umma
WEWE NI MUONGO MKUBWA KABSA..........unakumbuka kipindi cha tetemeko la KAGERA Ulituwekea uzi humu y KUWA edo YUPO SAFARINI kuelekea KAGERA ili hali yupo safarini kuelekea KAGERA YA monduli kule KENYA......Afu tangu lini nyumbu wa CHADEMA akawa na NDIMI moja??????????
 
PESA ZOTE ZILE WANAZOTUPIGA DAILY ALAFU UNASIMAMIA UPATIKANAJI WA HELA AMBAYO WEWE NI MATUMIZI YA VOCHA! LOL MUNGU AINGILIE KATI HAYA MAMBO🙂🙂🙂🙂
 
Unaombaje ela wafiwa? Lazima apate elfu 40....hiyo harambee angepiga Dar si BK
 
Harambee aliyoiendesha Prof. Muhongo kwa maafisa alioandamana nao Bukoba, yakusanya TZS 40,000/-

Ziara aliyoifanya waziri wa nishati na madini Sospeter Muhongo katika mtaa wa Hamugembe iligeuka kuwa harambee baada ya waathirika wa tetemeko la ardhi kudai msaada wa chakula na mahema

Hali hiyo ilimlazimu Prof. Muhongo kuitisha mchango wa fedha kutoka kwa maofisa aliokuwa nao na kufanikiwa kupata 40,000 na kuwakabidhi wakazi hao.

Mkazi wa mtaa huo Sadick Shaban alilalamika kuwa waathirika wa tetemeko hilo hawajapata misaada inayotolewa, mkazi mwingine Adventina Shumuni amedai tangu maafa hayo yatokee wametembelewa na afisa wa Tanesco aliyewaachia 20,000 tu baada ya kuwahurumia kwa kukosa makazi

Chanzo: Mwananchi
Mhs. alitoa kiasi gani hhahha
 
Back
Top Bottom