Ekotike
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 747
- 247
Una maarifa zaidi ya watu wote waliochangia kwenye uziWatu hawana hela kipindi hiki sio kwamba wamemsusia!
Una maarifa zaidi ya watu wote waliochangia kwenye uziWatu hawana hela kipindi hiki sio kwamba wamemsusia!
Kwani Mh Tundu Lissu alivyopigwa BAN bungeni ilikuwaje?Vipi kama itakuwa kweli?
Nasikia amewachangisha watu 80 kila moja katoa 500Pesa imefungiwa
We umeshatoa ngapi?Yeye alitoa ngapi hapo?
Sikiloza na Tazama vyombo mbalimbali mda unaofuata bila kusahau magazeti ya keshoushahidi tafadhali
Wajue hali ni teteNasikia amewachangisha watu 80 kila moja katoa 500
[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji23] hii serikali kwakweli imeishiwaHarambee aliyoiendesha Prof. Muhongo kwa maafisa alioandamana nao Bukoba, yakusanya TZS 40,000/-
Ziara aliyoifanya waziri wa nishati na madini Sospeter Muhongo katika mtaa wa Hamugembe iligeuka kuwa harambee baada ya waathirika wa tetemeko la ardhi kudai msaada wa chakula na mahema
Hali hiyo ilimlazimu Prof. Muhongo kuitisha mchango wa fedha kutoka kwa maofisa aliokuwa nao na kufanikiwa kupata 40,000 na kuwakabidhi wakazi hao.
Mkazi wa mtaa huo Sadick Shaban alilalamika kuwa waathirika wa tetemeko hilo hawajapata misaada inayotolewa, mkazi mwingine Adventina Shumuni amedai tangu maafa hayo yatokee wametembelewa na afisa wa Tanesco aliyewaachia 20,000 tu baada ya kuwahurumia kwa kukosa makazi
Chanzo: Mwananchi
Hicho ni kiashiria sahihi ya kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa kwa kasi sana kuelekea uchumi wa kati.Harambee aliyoiendesha Prof. Muhongo kwa maafisa alioandamana nao Bukoba, yakusanya TZS 40,000/-
Ziara aliyoifanya waziri wa nishati na madini Sospeter Muhongo katika mtaa wa Hamugembe iligeuka kuwa harambee baada ya waathirika wa tetemeko la ardhi kudai msaada wa chakula na mahema
Hali hiyo ilimlazimu Prof. Muhongo kuitisha mchango wa fedha kutoka kwa maofisa aliokuwa nao n kufanikiwa kupata 40,000 na kuwakabidhi wakazi hao
Mod 5 Mod 4 chunguzeni hii habari aliyoleta huyu Mwanahabari Huru kama ina ukweli, kama siyo mzawadieni kale kanembo ketu kazuri ka "BANNED".
Acha kuleta siasa kwenye matatizo. Ningekuwa Mod 4 ningekupiga BAN maana unaleta habari ya utani kwenye maafa na kibaya huna hata uthibitisho
Ambulance ile ni msaada hamna senti ahmar yakeHuyu prof. Ni mchangiaji mzuri tu, kule kwao amenunua ambulance ambayo haipatikani mikoa mingi hapa tz.
Asante kwa uthibitisho ingawa najua hayo magazeti ni NGOs za lile chama lililokufa siku nyingi
Acha upashkuna mkuu...Asante kwa uthibitisho ingawa najua hayo magazeti ni NGOs za lile chama lililokufa siku nyingi