Harakati za wanyama na wadudu

Harakati za wanyama na wadudu

FB_IMG_1754348159598.jpg
 
Kwa mujibu wa tafiti za kisayansi Kobe ndio mnyama anayeweza kuishi miaka mingi kuliko viumbe wote duniani ambapo anatajwa kuweza kuishi mpaka miaka 200. Kobe anapofanya mapenzi dume hutumia dakika 10 hadi 20 kisha hutoa mlio mkali na kumwaga mbegu(wazungu) mara moja tu na jike huhifadhi mbegu hizo kwa mpaka miaka 7 kwa ajili ya matumizi kutaga nk, hawana tabia ya kufanya mapenzi kama starehe

Binadamu pamoja na ujanja wake anatajwa kuishia miaka 120 pekee huku simba pamoja na ubabe wake akitajwa kuishi miaka 12 mpaka 15 tu

Tembo pamoja na ukubwa wake umri wake wa juu kuishi ni miaka 70 tu

Siri ya kobe kuishi miaka mingi ukiachana na kutokuwa malaya inatajwa kuchangiwa na upole wake na utaratibu wake katika maisha pia hana tabia ya ugomvi

Funzo: Moyo usio na mambo mengi una maisha marefu, piga kimoja cha afya kama kobe kisha punguza maadui uishi miaka mingi
1754451616253.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom