Kiula Mzalendo
New Member
- Jan 8, 2013
- 4
- 0
Huyo wa kushoto ndio alikuwa kiongozi wa UVCCM mbona anaonekana mzee hivyo? kama sikosei ana miaka zaidi ya 43
Nimevumilia sana ila inabidi tu kumweleza ukweli Bwana Mwigulu khs anavyozidi kuharibu jina na sifa zake kwa ajili tu ya uroho wa madaraka. Haipingiki kuwa Mwigulu ana uroho wa madaraka na hii inaweza kuthibitishwa na hata waliokuwa naye shule ya sekondari Mazengo. Mdogo wangu alikuwa naye kwa maana hiyo anamfahamu sana na anaweza kuzisimulia harakati za Mwigulu za utafutaji wa madaraka. Kuna mambo mengine km ya kurudia shule na yule rafiki/ndugu yake ambaye anajiita Inosenti - Diwani wa kata yao Mwigulu ambaye naye alirudia shule zaidi ya mara 3 na bahati mbaya form 4 yake pale Tumaini Sekondari alibumba. Huyu pia aliwahi kubadili badili sana majina, enzi fulani alirudia shule kwa jina la Mandi Kapendo - kama Mwigulu unabisha sema ushahidi uletwe. Kwa leo siongelei hayo ila kuna mambo machache tu yaliyotokea hivi karibuni yamenifanya unikere sana.
1. Wewe uliitisha kikao kwa Wanairamba Magharibi kule Dar na ukajifanya km vile umealikwa tu. Kikao hicho ulikiandaa km vile kuna sherehe kubwa ya harusi ukaandaa na futari lakini mafanikio yake nasikia yalikuwa madogo sana, kwani mpaka leo kikao hicho hakijakueletea mrejesho mzuri. Hapa inasemekana kuwa tayari wewe ulishauasi Mfuko wa Maendeleo ya Iramba ambao mlikuwa mnauanzisha na wenzako mnaoishi nao Dar kwa kuona kuwa huo Mfuko huo amejumuishwa Dr Kitila Mkumbo ambaye ni adui wako kiasiasa. Inasemekana uliomba mkutano then ulipoambiwa kufuata taratibu mlizojiwekea na wanakamati wenzako za kuitisha vikao ukakasirika na kuamua kumtumia yule kijana Daniel Manupa ambaye ameanzisha blogu ya Singida Connections ili ufanikiwe katika mambo yako lakini haukufanikiwa sana kutokana na kususwa kwa kikao hicho na wanakamati wenzako ambao hakufika hata mmoja. Inasemekana hasira hizo zililetekeza hadi ukaanza kuropoka mwisho wa kikao hicho kuwa wazee wa Iramba wanajidai na wanataka kufuatwa fuatwa majumbani kwao ndiyo wahudhurie kwenye kikao chako.Kuna ubaya km kuna wazee walikuambia uende ukaenda? Dharau hiyo umeipata wapi? Mbona inasemekana wakati unataka kugombea mwaka 2010 ulikuwa ukiambiwa uende kwa hao hao wazee ulikuwa unaenda? Leo umeshasahau Mwigulu?
2. Nimeelezwa na rafiki yangu ambaye anatoka kata moja na wewe anasema ulitoa takwimu mbalimbali siku ya kikao chako, ambazo zilikuwa ni za uwongo kwani hata shule ya Sekondari katani mwako ambapo ulisema umepeleka walimu 12 ilikuwa ni uwongo mtakatifu. Inasemekana shule hiyo ina walimu 6 tu wawili kati yao ni vijana waliomaliza sekondari na wanajitolea tu kufundisha. Nimeambiwa mbaya zaidi watoto wa mwalimu wako wa shule ya msingi Makunda na wa diwani rafiki yako Mandi Kapendo inasemakana umewahamisha toka shule hiyo kwa sababu unajua matatizo ya shule, mojawapo ikiwa ni ukosefu wa walimu. Kama umepeleka walimu kwa nini umewahamisha watoto hao?
3. Wewe uliamua kuipelaka timu ya Simba Iramba ili kuvuruga mkutano wa wapinzani wako ambao walikuwa wanaongelea mambo muhimu tu na jamii yako inapaswa kuyasikiliza, kuyajua au hata kuyapuuza kwa kadri ya uelewa wao. Kwako wewe, hata kama wewe uliingiliwa katika ratiba zako, ina maana mpira ulikuwa una maana sana kuliko mambo yaliyoongewa na CDM. Kwa ushabiki sana, ulitoa thread ya majigambo na ikiwataka CDM wakuheshimu. Mi nashangaa kwa nini ufanye mkutano huo wa CDM km visa? kwa nini usingekuwa mtu wa kwanza kusisitiza wananchi waende kusikiliza? Kwani kuna ubaya gani wewe kukaa karibu na Kitila Mkumbo kwa manufaa ya Iramba? Naamimi ungeweza hata kuwaomba CDM wafanye mkutano siku ingine wangekubali tu, ama hata wewe ungeweza kubadili siku ya uzinduzi wa ligi ya kombe lako, sidhani km siasa unazoendekeza zinakujenga - sana sana zinakubomoa sana. Badala ya kuzuia watu wasiende mikutano ya wapinzani wako kisiasa nadhani ungewasisitiza waende then ungekuwa unajijengea sifa kubwa sana pale unapojaribu hata wewe kukubali pale wanapoongea mambo ya maana na kuyacriticise kwa hoja nzuri yale yasiyo ya maana.
Mambo haya na mengine ni kweli yanadhihirisha ambavyo umeshakuwa na hofu sana kuwa njia zako za kukufikisha katika madaraka uyatakayo (uwaziri) zinaweza zisifanikiwe. Ni kweli kuwa wewe una uroho sana wa madaraka na nakumbuka kuna siku mwaka 2011 nikiwa na wewe wawili Arusha uliwahi kuongelea njonzi zako kuwa unataka baada ya muda mfupi jina lako lisikike na ulijitapa kuwa unaweza kuongea na mkuu wa nchi direct, then ....
Itaendelea....ngoja nifanye kazi kwanza (moderator naomba usiitoe hii thread au kuiunganisha nitaendelea)
Tanzania kwanza siasa baadae, hata kile kikao cha wanairamba kilikua ni cha Iramba kwanza siasa baadae, siasa hazikupewa nafasi, tatizo tu watu wengi wanachuki za kisiasa kuliko kukubaliana na uhalisia, waliohudhuria kile kikao wanajua kilichojadiliwa siku ile ya kikao cha wanairamba waishio dar, mambo mengi yaliyozungumzwa pale yalikua yanaihusu jamii ya Iramba na sio CCM wala Chadema, wanasiasa wanaeneza chuki pasipo na mantinki, kushirikiana na Mwigullu haimaanishi wewe ni mfuasi wake, kumbuka Mwigullu ni mbunge mwenye dhamana ya jimbo la Iramba Magharibi kwa sasa, ni lazima awajibike kwa wananchi wote haijalishi ni kutoka chama gani, tunastahili kumshauri, kumkanya na kumhoji pale inapodibi, kwa hiyo kikao kilichofanyika dar kilikua na malengo hayo ya kushauriana, kuhoji na kujenga umoja kati yetu wanairamba,afu suala la watu kualikwa kwenye kikao na kutokutokea ni chuki binafsi tu za kisiasa, ngoja ukikaribia uchaguzi tuitishe kikao tena uone kama watu hawatakuja wengi, sasa hao ndio wanakua na uroho wa madaraka, wanakuja ili waonekane wanajua sana kujadili mambo, ili hali ukiwaambia leo hii jamani kuna harambee ya kujenga hospitali ama shule kila mtu atadai yuko busy na majukumu yake binafsi, mambo hayaendi hivyo wandugu, ushirikiano ni muhimu sana, inamaana mwanao akikunyea mkono utaukata au utanawa tu na kuendelea na maisha, vivyo hivyo kwa ndg. Mwigullu nae ni mwanairamba lazima tukae nae tuzungumze nae na tushauriane, hatuwezi tukamsusa na kusubiria uchaguzi 2015, je kwa kipindi hiki kilichobaki nani atusemee bungeni, nani asimamie kazi za mbunge? Lazima ahusike tu, kikubwa ni kukemea mabaya yake na kuwekana sawa mambo yaende mbele, hii ni QUID PRO QUA- NOTHING GOES FOR NOTHING, tulimpatia kura zetu nae lazima atutumikie wanairamba, siasa zisitawale uhalisia, kuna wakati wa kupiga siasa hasa kipindi cha kampeni, sasa hivi ni muda wa vitendo dhidi ya maneno.
Avanti mbona yote ulioandika ni ya kusikia. Huna hata moja la uhakika unakimbilia kuandika? Wewe umesikia ila mimi najua ukweli wa yote. Walimu kyengege unaoambiwa ni 6 wako 12 na moja wa 13 yuko masomoni. Pili diwani wangu jina la INNO ni ubatizo Msengi ndio baba yake Mandi ni jina la utotoni na kapendo babu yake. Hakuna jipya hapo. Kuhusu mfuko nikwambie tunaandaa katiba mpk sasa wala sijasusia. Hatuwezi kuacha kukutana kwa ajili katiba ya umoja haijawa tayari. Mkumbo sio adui yangu wala sio saizi yangu kisiasa ni mdogo sana huyo mimi ni kiongozi wa kitaifa na wakubwa zake wananihofia atakuwa huyo? Why do we talk of the past? Niliialika Simba kwa ajili ya program yangu sio kwa ajili ya mkutano wa upinzani. Niliileta mtibwa mwaka jana, toto africa mwaka juzi. Na februari naileta Yanga. Wa
Mimi ni kiongozi wa kitaifa
Endelea kujidanganya eti wanakuhofia,mbona hawakutajitaji kama wewe ufanyavyo?Avanti mbona yote ulioandika ni ya kusikia. Huna hata moja la uhakika unakimbilia kuandika? Wewe umesikia ila mimi najua ukweli wa yote. Walimu kyengege unaoambiwa ni 6 wako 12 na moja wa 13 yuko masomoni. Pili diwani wangu jina la INNO ni ubatizo Msengi ndio baba yake Mandi ni jina la utotoni na kapendo babu yake. Hakuna jipya hapo. Kuhusu mfuko nikwambie tunaandaa katiba mpk sasa wala sijasusia. Hatuwezi kuacha kukutana kwa ajili katiba ya umoja haijawa tayari. Mkumbo sio adui yangu wala sio saizi yangu kisiasa ni mdogo sana huyo mimi ni kiongozi wa kitaifa na wakubwa zake wananihofia atakuwa huyo? Why do we talk of the past? Niliialika Simba kwa ajili ya program yangu sio kwa ajili ya mkutano wa upinzani. Niliileta mtibwa mwaka jana, toto africa mwaka juzi. Na februari naileta Yanga. Wa
Nimevumilia sana ila inabidi tu kumweleza ukweli Bwana Mwigulu khs anavyozidi kuharibu jina na sifa zake kwa ajili tu ya uroho wa madaraka. Haipingiki kuwa Mwigulu ana uroho wa madaraka na hii inaweza kuthibitishwa na hata waliokuwa naye shule ya sekondari Mazengo. Mdogo wangu alikuwa naye kwa maana hiyo anamfahamu sana na anaweza kuzisimulia harakati za Mwigulu za utafutaji wa madaraka. Kuna mambo mengine km ya kurudia shule na yule rafiki/ndugu yake ambaye anajiita Inosenti - Diwani wa kata yao Mwigulu ambaye naye alirudia shule zaidi ya mara 3 na bahati mbaya form 4 yake pale Tumaini Sekondari alibumba. Huyu pia aliwahi kubadili badili sana majina, enzi fulani alirudia shule kwa jina la Mandi Kapendo - kama Mwigulu unabisha sema ushahidi uletwe. Kwa leo siongelei hayo ila kuna mambo machache tu yaliyotokea hivi karibuni yamenifanya unikere sana.
1. Wewe uliitisha kikao kwa Wanairamba Magharibi kule Dar na ukajifanya km vile umealikwa tu. Kikao hicho ulikiandaa km vile kuna sherehe kubwa ya harusi ukaandaa na futari lakini mafanikio yake nasikia yalikuwa madogo sana, kwani mpaka leo kikao hicho hakijakueletea mrejesho mzuri. Hapa inasemekana kuwa tayari wewe ulishauasi Mfuko wa Maendeleo ya Iramba ambao mlikuwa mnauanzisha na wenzako mnaoishi nao Dar kwa kuona kuwa huo Mfuko huo amejumuishwa Dr Kitila Mkumbo ambaye ni adui wako kiasiasa. Inasemekana uliomba mkutano then ulipoambiwa kufuata taratibu mlizojiwekea na wanakamati wenzako za kuitisha vikao ukakasirika na kuamua kumtumia yule kijana Daniel Manupa ambaye ameanzisha blogu ya Singida Connections ili ufanikiwe katika mambo yako lakini haukufanikiwa sana kutokana na kususwa kwa kikao hicho na wanakamati wenzako ambao hakufika hata mmoja. Inasemekana hasira hizo zililetekeza hadi ukaanza kuropoka mwisho wa kikao hicho kuwa wazee wa Iramba wanajidai na wanataka kufuatwa fuatwa majumbani kwao ndiyo wahudhurie kwenye kikao chako.Kuna ubaya km kuna wazee walikuambia uende ukaenda? Dharau hiyo umeipata wapi? Mbona inasemekana wakati unataka kugombea mwaka 2010 ulikuwa ukiambiwa uende kwa hao hao wazee ulikuwa unaenda? Leo umeshasahau Mwigulu?
2. Nimeelezwa na rafiki yangu ambaye anatoka kata moja na wewe anasema ulitoa takwimu mbalimbali siku ya kikao chako, ambazo zilikuwa ni za uwongo kwani hata shule ya Sekondari katani mwako ambapo ulisema umepeleka walimu 12 ilikuwa ni uwongo mtakatifu. Inasemekana shule hiyo ina walimu 6 tu wawili kati yao ni vijana waliomaliza sekondari na wanajitolea tu kufundisha. Nimeambiwa mbaya zaidi watoto wa mwalimu wako wa shule ya msingi Makunda na wa diwani rafiki yako Mandi Kapendo inasemakana umewahamisha toka shule hiyo kwa sababu unajua matatizo ya shule, mojawapo ikiwa ni ukosefu wa walimu. Kama umepeleka walimu kwa nini umewahamisha watoto hao?
3. Wewe uliamua kuipelaka timu ya Simba Iramba ili kuvuruga mkutano wa wapinzani wako ambao walikuwa wanaongelea mambo muhimu tu na jamii yako inapaswa kuyasikiliza, kuyajua au hata kuyapuuza kwa kadri ya uelewa wao. Kwako wewe, hata kama wewe uliingiliwa katika ratiba zako, ina maana mpira ulikuwa una maana sana kuliko mambo yaliyoongewa na CDM. Kwa ushabiki sana, ulitoa thread ya majigambo na ikiwataka CDM wakuheshimu. Mi nashangaa kwa nini ufanye mkutano huo wa CDM km visa? kwa nini usingekuwa mtu wa kwanza kusisitiza wananchi waende kusikiliza? Kwani kuna ubaya gani wewe kukaa karibu na Kitila Mkumbo kwa manufaa ya Iramba? Naamimi ungeweza hata kuwaomba CDM wafanye mkutano siku ingine wangekubali tu, ama hata wewe ungeweza kubadili siku ya uzinduzi wa ligi ya kombe lako, sidhani km siasa unazoendekeza zinakujenga - sana sana zinakubomoa sana. Badala ya kuzuia watu wasiende mikutano ya wapinzani wako kisiasa nadhani ungewasisitiza waende then ungekuwa unajijengea sifa kubwa sana pale unapojaribu hata wewe kukubali pale wanapoongea mambo ya maana na kuyacriticise kwa hoja nzuri yale yasiyo ya maana.
Mambo haya na mengine ni kweli yanadhihirisha ambavyo umeshakuwa na hofu sana kuwa njia zako za kukufikisha katika madaraka uyatakayo (uwaziri) zinaweza zisifanikiwe. Ni kweli kuwa wewe una uroho sana wa madaraka na nakumbuka kuna siku mwaka 2011 nikiwa na wewe wawili Arusha uliwahi kuongelea njonzi zako kuwa unataka baada ya muda mfupi jina lako lisikike na ulijitapa kuwa unaweza kuongea na mkuu wa nchi direct, then ....
Itaendelea....ngoja nifanye kazi kwanza (moderator naomba usiitoe hii thread au kuiunganisha nitaendelea)
Taifa gani? Ubunge wako ni wa Iramba na unaibu katibu mkuu wako ni wa CCM, sasa taifa lipi unalolizungumzia?
mkuu mpigie simu umueleze, unatuchoshaNimevumilia sana ila inabidi
tu kumweleza ukweli Bwana Mwigulu khs anavyozidi kuharibu jina na sifa
zake kwa ajili tu ya uroho wa madaraka. Haipingiki kuwa Mwigulu ana
uroho wa madaraka na hii inaweza kuthibitishwa na hata waliokuwa naye
shule ya sekondari Mazengo. Mdogo wangu alikuwa naye kwa maana hiyo
anamfahamu sana na anaweza kuzisimulia harakati za Mwigulu za utafutaji
wa madaraka. Kuna mambo mengine km ya kurudia shule na yule rafiki/ndugu
yake ambaye anajiita Inosenti - Diwani wa kata yao Mwigulu ambaye naye
alirudia shule zaidi ya mara 3 na bahati mbaya form 4 yake pale Tumaini
Sekondari alibumba. Huyu pia aliwahi kubadili badili sana majina, enzi
fulani alirudia shule kwa jina la Mandi Kapendo - kama Mwigulu unabisha
sema ushahidi uletwe. Kwa leo siongelei hayo ila kuna mambo machache tu
yaliyotokea hivi karibuni yamenifanya unikere sana.
1. Wewe uliitisha kikao kwa Wanairamba Magharibi kule Dar na ukajifanya
km vile umealikwa tu. Kikao hicho ulikiandaa km vile kuna sherehe kubwa
ya harusi ukaandaa na futari lakini mafanikio yake nasikia yalikuwa
madogo sana, kwani mpaka leo kikao hicho hakijakueletea mrejesho mzuri.
Hapa inasemekana kuwa tayari wewe ulishauasi Mfuko wa Maendeleo ya
Iramba ambao mlikuwa mnauanzisha na wenzako mnaoishi nao Dar kwa kuona
kuwa huo Mfuko huo amejumuishwa Dr Kitila Mkumbo ambaye ni adui wako
kiasiasa. Inasemekana uliomba mkutano then ulipoambiwa kufuata taratibu
mlizojiwekea na wanakamati wenzako za kuitisha vikao ukakasirika na
kuamua kumtumia yule kijana Daniel Manupa ambaye ameanzisha blogu ya
Singida Connections ili ufanikiwe katika mambo yako lakini haukufanikiwa
sana kutokana na kususwa kwa kikao hicho na wanakamati wenzako ambao
hakufika hata mmoja. Inasemekana hasira hizo zililetekeza hadi ukaanza
kuropoka mwisho wa kikao hicho kuwa wazee wa Iramba wanajidai na
wanataka kufuatwa fuatwa majumbani kwao ndiyo wahudhurie kwenye kikao
chako.Kuna ubaya km kuna wazee walikuambia uende ukaenda? Dharau hiyo
umeipata wapi? Mbona inasemekana wakati unataka kugombea mwaka 2010
ulikuwa ukiambiwa uende kwa hao hao wazee ulikuwa unaenda? Leo
umeshasahau Mwigulu?
2. Nimeelezwa na rafiki yangu ambaye anatoka kata moja na wewe anasema
ulitoa takwimu mbalimbali siku ya kikao chako, ambazo zilikuwa ni za
uwongo kwani hata shule ya Sekondari katani mwako ambapo ulisema
umepeleka walimu 12 ilikuwa ni uwongo mtakatifu. Inasemekana shule hiyo
ina walimu 6 tu wawili kati yao ni vijana waliomaliza sekondari na
wanajitolea tu kufundisha. Nimeambiwa mbaya zaidi watoto wa mwalimu wako
wa shule ya msingi Makunda na wa diwani rafiki yako Mandi Kapendo
inasemakana umewahamisha toka shule hiyo kwa sababu unajua matatizo ya
shule, mojawapo ikiwa ni ukosefu wa walimu. Kama umepeleka walimu kwa
nini umewahamisha watoto hao?
3. Wewe uliamua kuipelaka timu ya Simba Iramba ili kuvuruga mkutano wa
wapinzani wako ambao walikuwa wanaongelea mambo muhimu tu na jamii yako
inapaswa kuyasikiliza, kuyajua au hata kuyapuuza kwa kadri ya uelewa
wao. Kwako wewe, hata kama wewe uliingiliwa katika ratiba zako, ina
maana mpira ulikuwa una maana sana kuliko mambo yaliyoongewa na CDM. Kwa
ushabiki sana, ulitoa thread ya majigambo na ikiwataka CDM wakuheshimu.
Mi nashangaa kwa nini ufanye mkutano huo wa CDM km visa? kwa nini
usingekuwa mtu wa kwanza kusisitiza wananchi waende kusikiliza? Kwani
kuna ubaya gani wewe kukaa karibu na Kitila Mkumbo kwa manufaa ya
Iramba? Naamimi ungeweza hata kuwaomba CDM wafanye mkutano siku ingine
wangekubali tu, ama hata wewe ungeweza kubadili siku ya uzinduzi wa ligi
ya kombe lako, sidhani km siasa unazoendekeza zinakujenga - sana sana
zinakubomoa sana. Badala ya kuzuia watu wasiende mikutano ya wapinzani
wako kisiasa nadhani ungewasisitiza waende then ungekuwa unajijengea
sifa kubwa sana pale unapojaribu hata wewe kukubali pale wanapoongea
mambo ya maana na kuyacriticise kwa hoja nzuri yale yasiyo ya maana.
Mambo haya na mengine ni kweli yanadhihirisha ambavyo umeshakuwa na hofu
sana kuwa njia zako za kukufikisha katika madaraka uyatakayo (uwaziri)
zinaweza zisifanikiwe. Ni kweli kuwa wewe una uroho sana wa madaraka na
nakumbuka kuna siku mwaka 2011 nikiwa na wewe wawili Arusha uliwahi
kuongelea njonzi zako kuwa unataka baada ya muda mfupi jina lako
lisikike na ulijitapa kuwa unaweza kuongea na mkuu wa nchi direct, then
....
Itaendelea....ngoja nifanye kazi kwanza (moderator naomba usiitoe hii
thread au kuiunganisha nitaendelea)
Avanti mbona yote ulioandika ni ya kusikia. Huna hata moja la uhakika unakimbilia kuandika? Wewe umesikia ila mimi najua ukweli wa yote. Walimu kyengege unaoambiwa ni 6 wako 12 na moja wa 13 yuko masomoni. Pili diwani wangu jina la INNO ni ubatizo Msengi ndio baba yake Mandi ni jina la utotoni na kapendo babu yake. Hakuna jipya hapo. Kuhusu mfuko nikwambie tunaandaa katiba mpk sasa wala sijasusia. Hatuwezi kuacha kukutana kwa ajili katiba ya umoja haijawa tayari. Mkumbo sio adui yangu wala sio saizi yangu kisiasa ni mdogo sana huyo mimi ni kiongozi wa kitaifa na wakubwa zake wananihofia atakuwa huyo? Why do we talk of the past? Niliialika Simba kwa ajili ya program yangu sio kwa ajili ya mkutano wa upinzani. Niliileta mtibwa mwaka jana, toto africa mwaka juzi. Na februari naileta Yanga. Wa
Avanti mbona yote ulioandika ni ya kusikia. Huna hata moja la uhakika unakimbilia kuandika? Wewe umesikia ila mimi najua ukweli wa yote. Walimu kyengege unaoambiwa ni 6 wako 12 na moja wa 13 yuko masomoni. Pili diwani wangu jina la INNO ni ubatizo Msengi ndio baba yake Mandi ni jina la utotoni na kapendo babu yake. Hakuna jipya hapo. Kuhusu mfuko nikwambie tunaandaa katiba mpk sasa wala sijasusia. Hatuwezi kuacha kukutana kwa ajili katiba ya umoja haijawa tayari. Mkumbo sio adui yangu wala sio saizi yangu kisiasa ni mdogo sana huyo mimi ni kiongozi wa kitaifa na wakubwa zake wananihofia atakuwa huyo? Why do we talk of the past? Niliialika Simba kwa ajili ya program yangu sio kwa ajili ya mkutano wa upinzani. Niliileta mtibwa mwaka jana, toto africa mwaka juzi. Na februari naileta Yanga. Wa
Avanti mbona yote ulioandika ni ya kusikia. Huna hata moja la uhakika unakimbilia kuandika? Wewe umesikia ila mimi najua ukweli wa yote. Walimu kyengege unaoambiwa ni 6 wako 12 na moja wa 13 yuko masomoni. Pili diwani wangu jina la INNO ni ubatizo Msengi ndio baba yake Mandi ni jina la utotoni na kapendo babu yake. Hakuna jipya hapo. Kuhusu mfuko nikwambie tunaandaa katiba mpk sasa wala sijasusia. Hatuwezi kuacha kukutana kwa ajili katiba ya umoja haijawa tayari. Mkumbo sio adui yangu wala sio saizi yangu kisiasa ni mdogo sana huyo mimi ni kiongozi wa kitaifa na wakubwa zake wananihofia atakuwa huyo? Why do we talk of the past? Niliialika Simba kwa ajili ya program yangu sio kwa ajili ya mkutano wa upinzani. Niliileta mtibwa mwaka jana, toto africa mwaka juzi. Na februari naileta Yanga. Wa