KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 295
Mkumbo sio adui yangu wala sio saizi yangu kisiasa ni mdogo sana huyo mimi ni kiongozi wa kitaifa na wakubwa zake wananihofia atakuwa huyo? Wa
Tangu nimekujua leo ndo umesema ukweli....
Kwa hadhi yako na yake, kweli si size yako....!
Yeye si mtu wa siasa za ukanjanja!
Yeye si mtu wa kununua jina la mwenzio shuleni...!
Yeye ni PhD holder kuliko wewe....
Yeye ni mkuu wa Kitivo cha ELIMU chuo kikuu cha DSM (UDSM)...
Kwa siasa kama zako, za kipuuzi; ni kweli Mkumbo kama mtu mnyenyekevu pamoja na elimu yake kuwa juu ya ile ulonayo si size yako...!
Hongera kwa kulijua hilo...!