Happy Women’s Day!

Happy Women’s Day!

Seran

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2025
Posts
10,800
Reaction score
32,264
DFDBAAF6-9B8E-455F-BB1E-6F334C61544B.jpeg

WOMEN OF IMPACT (PSALMS 68:11)

VISION

EQUIPPING WOMEN TO IMPACT THEIR WORLD

MISSION
TO RAISE GODLY WOMEN WHO LIVE A TRANSFORMATIONAL LIFE AND MAKE THE DIFFERENCE IN THEIR WORLD

Zaburi 68:11
Bwana analitoa neno lake wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa.

Karibu tumwinulie Bwana Jeshi la wanawake watakaotangaza habari njema za ufalme.

Hapa ni mahali pa kutengeneza wanawake watakaoliishi kusudi la kuumbwa kwao kikamilifu na kuleta mguso wa kipekee kwenye kizazi chao.

Ni kwa ajili ya wanawake wenye ndoto za kuifaidia dunia yao.

Ni kwa ajili ya wanawake wenye maono makubwa ya kuwa watu wenye matokeo ulimwenguni.

Hapa utajaa maarifa ya kweli ya neno la Mungu yatakayokusaidia kuzaa matokeo ukiwa mwanamke
 
Wanawake wana akili gani?
Mostly huwa mnatumia hisia sio akili.
Hili nalo ni jambo ambalo dunia imedanganywa kwa muda mrefu. This is purely simplification.

Wanawake sio kwamba tunatumia hisia zaidi tofauti na wanaume , bali tunaonesha hisia zaidi, waziwazi.. Kuna utofauti hapo.

Kuna kitu kinaitwa “emotion rules” ni kanuni zisizoandikwa za jinsi jinsia zinavyopaswa kuonesha hisia. Hii rule ndio imeshape dunia ya kihisia ionekane inavyoonekana.
 
Back
Top Bottom