makorere
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 1,713
- 1,170
HAPPY WOMEN'S DAY!!!
Hongereni Sana Wanawake wote mliopo kwenye ukurasa huu.
Ninyi ni wanawake wa nguvu na wa thamani sana mbele za Mungu na wanadamu.
Tunawatakia mafanikio mema kwa kila hatua ya maisha yenu.Msirudi nyuma endeleeni kupambana.Tupo pamoja na nyinyi siku zote.Tunawapenda sana.
Hongereni Sana Wanawake wote mliopo kwenye ukurasa huu.
Ninyi ni wanawake wa nguvu na wa thamani sana mbele za Mungu na wanadamu.
Tunawatakia mafanikio mema kwa kila hatua ya maisha yenu.Msirudi nyuma endeleeni kupambana.Tupo pamoja na nyinyi siku zote.Tunawapenda sana.