Kwa msisitizo mkuu, nawatakieni maisha marefu kila mmoja pasipo kusahau;
1. Serikali ya JMT
2. Bunge la JMT
3. Mahakama ya JMT
4. Watanzania wote na wasio
Tunakumbushwa kutenda wema na haki kila mnapopata dhamana, ya mwaka jana yamepita yawe funzo rejea kwa uboresho wa yaliyo mbele yetu. Uonevu na dhurma visitajwe kwetu tena, kwa ustawi wa taifa letu. Serikali, Bunge na Mahakama Mungu awape jicho mpate kutenda haki kila panapowahitaji kufanya hivyo....lawama mlizobebeshwa mzifute kwa kutenda wema zaidi.
Mliopewa dhamana huko juu tendeni haki, mambo ya ubaya yamepitwa na wakati
Ameeen!!!
1. Serikali ya JMT
2. Bunge la JMT
3. Mahakama ya JMT
4. Watanzania wote na wasio
Tunakumbushwa kutenda wema na haki kila mnapopata dhamana, ya mwaka jana yamepita yawe funzo rejea kwa uboresho wa yaliyo mbele yetu. Uonevu na dhurma visitajwe kwetu tena, kwa ustawi wa taifa letu. Serikali, Bunge na Mahakama Mungu awape jicho mpate kutenda haki kila panapowahitaji kufanya hivyo....lawama mlizobebeshwa mzifute kwa kutenda wema zaidi.
Mliopewa dhamana huko juu tendeni haki, mambo ya ubaya yamepitwa na wakati
Ameeen!!!