Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
na ukiziwi niongezewe pia.....
hahahaha bora umesema mwenyewe bila kusahau ububu pia sweeylady kapata
Last edited by a moderator:
na ukiziwi niongezewe pia.....
Preta namdai nauli yangu ya Ndege hawezi kwa nini alihairisha harusi?
Nipewe ububu,upofu na ukiziwi kwa ajili ya sweetlady....kwangu sawa tu...
hope cjachelewa sana!! happy birthday Young_master!!!!!!!!!
aje mwenyewe kuthibitisha kauli......mhazini Mwita Maranya na mwenyekiti Teamo walikimbia na michango ya harusi
Happy belated Young_master.
Sasa dada'angu Blaki Womani mbona tunachafuliana majina? kuna sababu gani ya mimi kuendelea kuwa mhazini kama hazina yenyewe iko empty!? kuchanga hamtaki lakini sherehe mnataka!!
Happy belated Birthday Dear Young Master, How did I miss this party?
it is never too late to wish you a happy biirthday Young_master
hope cjachelewa sana!! happy birthday Young_master!!!!!!!!!
Happy belated Young_master.
Sasa dada'angu Blaki Womani mbona tunachafuliana majina? kuna sababu gani ya mimi kuendelea kuwa mhazini kama hazina yenyewe iko empty!? kuchanga hamtaki lakini sherehe mnataka!!
Yani u missed everything...umemiss kukabeba kachanga katundu...ulikuwa wapi siku zote hizo?
ayiii, katoto kenyewe kameshakua hadi kameanza kuongea.
Ningekuwepo ningekuimbia ule wimbo wangu wa
toto party toto pati
toto pati tuimbe sote,
toto pati toto pati,
toto pati tucheze sote
hlo tuu wala halina tabu!!!! tenah ngoja nkamchemshie maji kabisaaaaaaaAdhabu yako utamwogesha mtoto mwezi mzima lol...... sawa princess enny eeh!
khaaa majukumu yakinzidi ntatoroka bureee!!!!!!!! kwanza mtoto mwenyewe kagoma kuogeshwaNa kupika uji inakuhusu pia lol!