sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
A simple celebration, a gathering of friends, here is wishing you a great happiness, a joy that never ends!
May your birthday be filled with sunshine and smiles,
laughter
love
and cheer!
I hope that for every candle on your cake you get a wonderful suprise !
:A S 465:Happy birthday dearest:A S 465:
Wapendwa wana chit chat ,karibuni tujumuike na mwenzetu mpendwa Young Master katika siku yake hii muhimu.....sherehe itafanyika nyumbani kwao jioni ya leo.....samahani kwa kuchelewa kuwaalika mtoto alikuwa bado kuruhusiwa kutoka hospital.....madaktari walishauri apatiwe na chanjo kabisa.....hivi ndio tumemfikisha nyumbani
Kaizer popote ulipo nakuachia majukumu ya kamati zote
Asprin kama kawaida utatulindia mlango
Erickb52 tafadhali shughulikia mapambo
cacico hata kama umemwacha Young Master tafadhali jukumu la kumuogesha mtoto linakuhusu...weka tofauti zenu pembeni na umfanye mwenye furaha walau kwa jioni ya leo tu
King'asti lovely wifi AshaDii is around so naimani hutakosa vile atakuazima ule mchuchumio wake
charminglady, Catherine, platozoom, Ndahani, Blaki Womani, Preta.....nyie mtaelekea jikoni!
Kongosho utapika uji wa mtoto.....huyu mtoto kazaliwa ana njaa sana !
BAK kama kawaida muziki tunakutegemea
ummu kulthum Madame B, gfsonwin, BAGAH mtashughulikia keki ya mtoto......Wapendwa kama mmavyojua sisi sote ni ndugu hivyo kwa ambae sijamtaja haimaanishi kuwa hatakiwi kuwepo.....wengine mnaweza kumwona Kaizer atawapangia kazi za kufanya! Yummy bado ana bed rest hivyo atakuja kula keki tu na kurudi kulala akisaidiana na mumewe kipenzi Mr Rocky
May your birthday be filled with sunshine and smiles,
laughter
love
and cheer!
I hope that for every candle on your cake you get a wonderful suprise !
:A S 465:Happy birthday dearest:A S 465:
Wapendwa wana chit chat ,karibuni tujumuike na mwenzetu mpendwa Young Master katika siku yake hii muhimu.....sherehe itafanyika nyumbani kwao jioni ya leo.....samahani kwa kuchelewa kuwaalika mtoto alikuwa bado kuruhusiwa kutoka hospital.....madaktari walishauri apatiwe na chanjo kabisa.....hivi ndio tumemfikisha nyumbani
Kaizer popote ulipo nakuachia majukumu ya kamati zote
Asprin kama kawaida utatulindia mlango
Erickb52 tafadhali shughulikia mapambo
cacico hata kama umemwacha Young Master tafadhali jukumu la kumuogesha mtoto linakuhusu...weka tofauti zenu pembeni na umfanye mwenye furaha walau kwa jioni ya leo tu
King'asti lovely wifi AshaDii is around so naimani hutakosa vile atakuazima ule mchuchumio wake
charminglady, Catherine, platozoom, Ndahani, Blaki Womani, Preta.....nyie mtaelekea jikoni!
Kongosho utapika uji wa mtoto.....huyu mtoto kazaliwa ana njaa sana !
BAK kama kawaida muziki tunakutegemea
ummu kulthum Madame B, gfsonwin, BAGAH mtashughulikia keki ya mtoto......Wapendwa kama mmavyojua sisi sote ni ndugu hivyo kwa ambae sijamtaja haimaanishi kuwa hatakiwi kuwepo.....wengine mnaweza kumwona Kaizer atawapangia kazi za kufanya! Yummy bado ana bed rest hivyo atakuja kula keki tu na kurudi kulala akisaidiana na mumewe kipenzi Mr Rocky
Chit chat oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Karibuni wote
:flypig::flypig::flypig::flypig:
Karibuni wote
:flypig::flypig::flypig::flypig:
Last edited by a moderator: