Peleka kwanza zawadi zake nilizokupa ndio uzileOoooh nimezila 😭
Umeelewa nilichomaanisha lakini? 😂Shukrani sana 😎
Hapana brotherUmeelewa nilichomaanisha lakini? 😂
Zimeshaisha🤭Peleka kwanza zawadi zake nilizokupa ndio uzile
Kumbukumbu ya tarehe na mwezi ulio zaliwa, nakusubiria siku ya kufa bwashee, hbd Vincenzo 👏Hivi hii Birthday hua ni sherehe inayohusu nini?
Wengine tupo vijijini ndani ndani huku.
Shukrani sana mkuuMTaALaMu wA mOvieS nA dOcUmEnTaRiEs
HaPpY BiRtHdAy COmRaDe
Shukrani sana 😎Mkuu siku njema ya kuzaliwa.
Mzee wa mizigo mikali😀😀
Shukrani sana brotherMore life bro🙏🏻🙏🏻
Nilijua tu.Hapana brother
Shukrani sana BabuNilijua tu.
Hangamaga nyandone - ishi maisha marefu kwa kadri inavyowezekana kijana wangu.
Angalizo: mimi ni mzee wa miaka 78 kwa hivyo badala ya kusema nyandone (kijana wangu) pengine nilipaswa kusema ng'wizūkūlū wane (mjukuu wangu).
Anyway, I mean it. Go enjoy your life today; and always - Kigamboni, majuu and everywhere else. Maisha ni haya haya hakuna mengine nyanda! 👊
Mambo 😎"Mwanaume kusheherekea siku yake ya kuzaliwa ni umama" 😎
Ndo nishasema sasa Vincenzo Jr njoo unipige 🤨
Shukrani sana kakaMiaka mingi kiongozi......mbunge ujae wa kigamboni 😁